Sobelex
Member
- May 27, 2018
- 48
- 47
Kumbe wajamaa walikuwa hawataki dada zao wapewe ile kitu roho inapenda.JB alichepuka binti wa Mabutu akagundua kaka zake wakaja juu, na kuanza kumwandama JB
Kumbe wajamaa walikuwa hawataki dada zao wapewe ile kitu roho inapenda.JB alichepuka binti wa Mabutu akagundua kaka zake wakaja juu, na kuanza kumwandama JB
Hata mimi nimeona mkuuHuku watoto hawaambulii kitu.Huku ni heshima tupu
mkuu mimi dance naweza sikiliza kwenye watu wengi tu, mfano kwenye kumbi nk. Nimezaliwa kizazi cha hiphop, nikichanganya kidogo basi reggae. Dance nawaachia wakongweAsante kwa kutupa heshima yetu ila unakosa mengi kijana
Duh...haya mkuu.ila kwangu bongo flavour yanishinda kwa sababu ina vitu navikosa hasa vyombo vinavyotumika kuuandaa muziki wakemkuu mimi dance naweza sikiliza kwenye watu wengi tu, mfano kwenye kumbi nk. Nimezaliwa kizazi cha hiphop, nikichanganya kidogo basi reggae. Dance nawaachia wakongwe