Kwa wapare na wanaojua Kipare- Bonge la wimbo kutoka baba na mama Dhao

asante mkuu kwa hilo songi ila wewe unafanana sana na
mtu mmoja wa kule arusha sijui ndo wewe Filipo au nimekufananisha?
sorry lakiini


Yule mtaalamu wa Enzi zile aloimba "Ni thithi baba dhao, pia mama dhao tulio hapa" ametoka na kitu kingine kipya na cha viwango. Anasema Kinyongo Kihuja, nicho chela mbeu"
Wewe sikiliza mwenyewe ili nisije nikaongeza chumvi:

Kinyongo Kihuja by Eliraha - HulkShare
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom