kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,288
- 12,579
Inaonekana kama vile Yanga inacheza michezo tofauti kipindi cha kwanza na kipindi cha pili. Kipindi cha kwanza Yanga inacheza soka Safi na la kisasa na kushinda mabao dakika za mwanzo za mechi.
Kipindi Cha pili Yanga inapunguza Kasi lakini wapinzani wanashindwa kuchomoa BAO waliliofungwa ingawa inaonekana kama vile Yanga haichezi vizuri, kitu kinachotafsiriwa na wengi kuwa Yanga imekata punzi kipindi Cha pili.
Ukweli ni upi, Yanga inalinda nguvu zake kipindi cha pili ili kujiandaa na mechi ijayo hasa baada ya kushinda kipindi Cha kwanza au Yanga inakata punzi kipindi cha pili?
Kipindi Cha pili Yanga inapunguza Kasi lakini wapinzani wanashindwa kuchomoa BAO waliliofungwa ingawa inaonekana kama vile Yanga haichezi vizuri, kitu kinachotafsiriwa na wengi kuwa Yanga imekata punzi kipindi Cha pili.
Ukweli ni upi, Yanga inalinda nguvu zake kipindi cha pili ili kujiandaa na mechi ijayo hasa baada ya kushinda kipindi Cha kwanza au Yanga inakata punzi kipindi cha pili?