Kwa wanawake; Utunzaji wa nguo za ndani

MBITIYAZA

JF-Expert Member
Jan 22, 2017
14,951
26,048
`Nimekaa na kuwaza nikaona si vibaya kukumbushana na kuelimishana juu ya kutunza nguo zetu za ndani,
~Inajulikana kuwa nguo za ndani ni muhimu kuvaa zile zinazonyonya jasho kwa wepesi zenye matirio ya pamba,yaan hata kama wewe ni mvaaji wa bikini pendelea kuchagua za cotton

~ Fua nguo zako za ndani kwasabuni ya unga ,nahisi sabuni za vipande kama zinafifiisha mng'ao (epuka kuloweka chupi zako kwa zaidi ya siku moja hufifisha mng'ao) jitahidi kutumia STA SOFT kwa kusuuzia !

~Anika chupi zako nje kwa raha zote !achana na maisha ya kuanikia machupi bafuni pishana na mafungus na maUTI

~ piga pasi chupi zako upatapo nafasi

~ Pendelea kuziweka nguo za ndani kwenye droo na utupie na udi mzuri au weka deodorant ifungue inakuwa inakaa humo.

#ng'wanambitiyaza
images
 
Vzr sana ushauri mwanana lakini kipengele cha kupiga pasi chupi eti mnauwa wadudu si kweli wale wadudu wanakufa Kwa miale ya jua tu kwahyo ukianika nje hata bila kupiga pasi ni sawa ila ukianika ndani alafu upige pasi unajidanganya.
 
Vzr sana ushauri mwanana lakini kipengele cha kupiga pasi chupi eti mnauwa wadudu si kweli wale wadudu wanakufa Kwa miale ya jua tu kwahyo ukianika nje hata bila kupiga pasi ni sawa ila ukianika ndani alafu upige pasi unajidanganya.
kumbe !sikua najua
 
`Nimekaa na kuwaza nikaona si vibaya kukumbushana na kuelimishana juu ya kutunza nguo zetu za ndani,
~Inajulikana kuwa nguo za ndani ni muhimu kuvaa zile zinazonyonya jasho kwa wepesi zenye matirio ya pamba,yaan hata kama wewe ni mvaaji wa bikini pendelea kuchagua za cotton

~ Fua nguo zako za ndani kwasabuni ya unga ,nahisi sabuni za vipande kama zinafifiisha mng'ao (epuka kuloweka chupi zako kwa zaidi ya siku moja hufifisha mng'ao) jitahidi kutumia STA SOFT kwa kusuuzia !

~Anika chupi zako nje kwa raha zote !achana na maisha ya kuanikia machupi bafuni pishana na mafungus na maUTI

~ piga pasi chupi zako upatapo nafasi

~ Pendelea kuziweka nguo za ndani kwenye droo na utupie na udi mzuri au weka deodorant ifungue inakuwa inakaa humo.

#ng'wanambitiyaza
images
Mmmhhhh naomba nikunuse nijue hyo "dolorant sijui''inanukiaje
 
Mambo zenu naulizia lodge nzuri sinza kwa 20,000 yenye ac,pasafi,kuwe na heater na maji ya kutosha.
 
Kachupi angalau katoe harufu flani ivi ya shahawa kanaleta mzuka xo kachupi kasafiiii hakana ata harufu ya jasho utafikiri anavaa mdori
 
  • Thanks
Reactions: BAK
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom