Hahah we Zanta wewe ........... Mpododo mkavu haulipi sio?!
Zanta tena kuna kimbao mbao anayevutia ila ukikutana na yule mwenye masingiri halafu yamekakamiana no vibration utachukiaje? haya yanatakiwa yapige stail ya hamsa..........hamsa.............hamsa. halafu ukute umetupiapo kaumini ama kashort dress wallah hata kipofu atamsifu mungu aisee. ama ukanoga ile tight ya kishakaji na baluzi ya ukweli chini ukatupia kiatu cha nguvu wewe koma wewe.sasa je hivi ulishawai kukutana na hii kitu, yaani hata mvuto hakuna bora uwe kimbau mbau tu tujue moja khaa
Mi naona wewe na Zanta mnanisema kimafumbo mie na haya makalio yangu ya Embu..........yamegandamana kwenye mifupa sasa yatatikisikaje?Bila kusahau mafuta ya ngisi.
na kama huna vibration sidhani kama unaweza kujilipua
ujue kuvaa kimini ni kujilipia liwalo na liwe ...sometimes miguu kama mikono haya...unasema watajiju...upo na vibration wakushangilia washangilie yaani ni full milipukolol umeonaa eeh! vibration inahusuje sasa katika kulipuka? kila pamba inakutoa tu wacha kabisa, kila utembeapo kama urudi tena vile.
na kama huna vibration sidhani kama unaweza kujilipua
Mi naona wewe na Zanta mnanisema kimafumbo mie na haya makalio yangu ya Embu..........yamegandamana kwenye mifupa sasa yatatikisikaje?
Haya bwana, meseji delivadi
hapo number tatu nijilipue hata usiku wa manane sio?
hehehehehe nikiangalia huo mdomo na jicho tu hapo kwa avata vinaniambia huko nyumba full mtikisiko.Mi naona wewe na Zanta mnanisema kimafumbo mie na haya makalio yangu ya Embu..........yamegandamana kwenye mifupa sasa yatatikisikaje?
Haya bwana, meseji delivadi
khe khe khe hebu nifundishe hio hamsa hamsa nikawafundishe wa kwetu huku yaani wanajua mpododo dili wakati hawana vibrationZanta tena kuna kimbao mbao anayevutia ila ukikutana na yule mwenye masingiri halafu yamekakamiana no vibration utachukiaje? haya yanatakiwa yapige stail ya hamsa..........hamsa.............hamsa. halafu ukute umetupiapo kaumini ama kashort dress wallah hata kipofu atamsifu mungu aisee. ama ukanoga ile tight ya kishakaji na baluzi ya ukweli chini ukatupia kiatu cha nguvu wewe koma wewe.
ujue kuvaa kimini ni kujilipia liwalo na liwe ...sometimes miguu kama mikono haya...unasema watajiju...upo na vibration wakushangilia washangilie yaani ni full milipuko
teh teh tehhata kama miguu ina viazi wanajilipua?
hahaaaa njoo nikupe somo usije ukawa unapaka mafuta usoni tu wasahau panapohusu.
khe khe khe hebu nifundishe hio hamsa hamsa nikawafundishe wa kwetu huku yaani wanajua mpododo dili wakati hawana vibration