- Thread starter
- #21
Why wanawake tu? Hata siye ambao ndio huzitungua tunaweza kukuambia kwa sababu ndo tunatoa first aid so tunajua hadi mambo yalipotulia ilichukua muda gani tukafua na yale mashukaa ya guest....
Karibu mkuu...
We kitu adimu ivo sku izi unaitolea guest...hahahaaaa...