Nasema
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 556
- 344
mhm kwa wanawake wakibongo hilo halipo labda ulaya
Wewe kweli bado! Endelea kula shule MMU ukikua utajua. Unaujua mpendapenda wewe?
mhm kwa wanawake wakibongo hilo halipo labda ulaya
Wewe kweli bado! Endelea kula shule MMU ukikua utajua. Unaujua mpendapenda wewe?
kawaida tu hii, inatokea tu binti anamtamani man na kutamani awe naye kwa 6*6. Mara nyingine unamtamani mcheza cinema wa Hollywood lol!
Kutamani ndio hutangulia then mengine yanafuata! We unafikiri girls wanaanzaje kuchagua Handsome, mrefu, ana misuli, mwembamba, mnene, kitu mkono wa mtoto mdg, etc? Tunatamani pia! Ukibahatika kutokea binti ambaye amesakutamani tayari ni raha iliyoje!
Tena mi sasa kuna member wa MMU namtamani, acha tu!
kawaida tu hii, inatokea tu binti anamtamani man na kutamani awe naye kwa 6*6. Mara nyingine unamtamani mcheza cinema wa Hollywood lol!
Kutamani ndio hutangulia then mengine yanafuata! We unafikiri girls wanaanzaje kuchagua Handsome, mrefu, ana misuli, mwembamba, mnene, kitu mkono wa mtoto mdg, etc? Tunatamani pia! Ukibahatika kutokea binti ambaye amesakutamani tayari ni raha iliyoje!
Tena mi sasa kuna member wa MMU namtamani, acha tu!
jamani nivulieni na mimi mbona nipo bomba sanami nilitamani kwa macho na nikala kwa macho sikuvua pichu,we karne hii siyo ya kuvua pichu ovyo patakua bwawa bure wengine wana machine za kuulia jambazi si mchezo yanini kutoka jasho wakati kuna full Air Condition.
wewe tena, chuoni bongo, tulikuwa kwa hotel kikazi....
mi nilitamani kwa macho na nikala kwa macho sikuvua pichu,we karne hii siyo ya kuvua pichu ovyo patakua bwawa bure wengine wana machine za kuulia jambazi si mchezo yanini kutoka jasho wakati kuna full Air Condition.
mi nilitamani kwa macho na nikala kwa macho sikuvua pichu,we karne hii siyo ya kuvua pichu ovyo patakua bwawa bure wengine wana machine za kuulia jambazi si mchezo yanini kutoka jasho wakati kuna full Air Condition.