Kwa wanaume: Zijue mbinu mpya za wanawake wa siku hizi wanaosaka ndoa kwa nguvu

Jul 12, 2017
84
77
1.Siku ya kwanza atakuja na chupi mbili, moja anaifua anaacha bafuni na nyingine anaivaa anaondoka asubuhi.

2.Siku ya pili anakuja na khanga anaivaa usiku, asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka.

3.Siku ya Tatu, anasahau pete na mkoba juu ya meza anakwambia "hny" nitunzie hereni zangu na mkoba nimesahau kwenye meza.

4.Siku ya nne, anakuja na vipedo vya kubadilisha na viatul pea 2 anavua high heels anaweka kwenye shoe rack asubuhi anaondoka asubuhi anaondoka na flat shoes anakwenda chuo.

Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha, ole wako uvihamishe alipoziweka kasi inaanza. Hao ndo wanawake wa kileo akija na begi nzima si utamuuliza vipi mwezangu na utamkimbiza anahamia taratibu mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa na perfume na mafuta ya rays inakuwa imejaa hereni na foundation, huna haja ya kuuliza ndo kashahamia huyo.

Kifuatacho utaambiwa "hny I miss my days, zamani nilijua ni simu tu za mikononi zinakuwa na missed calls, siku hizi kuna missed days, ukiambiwa hivyo tu jua imeshakula kwako inawindwa ndoa.
 
Akija mara ya nne na tabia ya kuacha vitu. Basi siku hiyo akiondoka wewe vikusanye kusanye jisogeze kituo cha daladala elekea maeneo ya kwao ukifika mwite halafu unamkabidhi begi la vitu vyake. Akiuliza kuna nini ndani mwambie ni suprise hivyo aende akafungulie ndani. Akifika ndani kufungua begi hautamuona tena kwako. Ingawa utakua umepata hasara ya begi ulilotumia kuwekea vitu vyake.
Mbinu nyingine ni kama una mpango wa kuhama pale unapoishi basi wewe relax tu. Kodi ikiisha atapata majibu yake.
 
Za kizamani hizo

Siku hizi unakaangiwa chumvi na kuchomewa kifuu cha nazi

Utaoa fasta bila shida ya kuhama kidogo kidogo
 
1.siku yakwanza atakuja na chupi mbili ,moja anaifua anaacha bafuni na nyingine anaivaa anaondoka asubuhi
2.siku ya pil anakuja na khanga anaivaa usiku ,asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka
3.siku ya Tatu ,anasahau Pete na mkoba juu ya Meza anakwambia "hny" nitunzie hereni zangu na mkoba nimesahau kwenye meza.
4.siku ya nne,anakuja na vipendo vya kubadilisha na viatul pea 2 anavua high heels anaweka kwenye shoe rack asubuhi anaondoka asubuhi anaondoka na flat shoes anakwenda chuo .
baada ya mwez chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha ,ole wako uvihamishe alipoziweka kasi inaanza.
hao ndo wanawake wa kileo akija na begi nzima si utamuuliza vipi mwezangu na utamkimbiza.......anahamia taratibu...mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa na perfume na mafuta ya rays inakuwa imejaa heren na foundation,huna haja ya kuuliza ndo kashahamia Huyo.
Kifuatacho utaambiwa "hny I miss my days,zamani nilijua ni simu tu za mikononi zinakuwa na missed calls, siku hiz kuna missed days,ukiambiwa hivyo tu jua imeshakula kwako inawindwa ndoa.
Kama ni wife mayerials, sioni tatizo! Tena namwambia kaleye na vyupi vya akiba.
 
1.siku yakwanza atakuja na chupi mbili ,moja anaifua anaacha bafuni na nyingine anaivaa anaondoka asubuhi
2.siku ya pil anakuja na khanga anaivaa usiku ,asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka
3.siku ya Tatu ,anasahau Pete na mkoba juu ya Meza anakwambia "hny" nitunzie hereni zangu na mkoba nimesahau kwenye meza.
4.siku ya nne,anakuja na vipendo vya kubadilisha na viatul pea 2 anavua high heels anaweka kwenye shoe rack asubuhi anaondoka asubuhi anaondoka na flat shoes anakwenda chuo .
baada ya mwez chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha ,ole wako uvihamishe alipoziweka kasi inaanza.
hao ndo wanawake wa kileo akija na begi nzima si utamuuliza vipi mwezangu na utamkimbiza.......anahamia taratibu...mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa na perfume na mafuta ya rays inakuwa imejaa heren na foundation,huna haja ya kuuliza ndo kashahamia Huyo.
Kifuatacho utaambiwa "hny I miss my days,zamani nilijua ni simu tu za mikononi zinakuwa na missed calls, siku hiz kuna missed days,ukiambiwa hivyo tu jua imeshakula kwako inawindwa ndoa.
Mkuu agiza bia ntakuja kulipa
 
UMRI
Akija mara ya nne na tabia ya kiacha vitu. Basi siku hiyo akiondoka wewe vikusanye kusanye jisogeze kituo cha daladala elekea maeneo ya kwao ukifika mwite halafu unamkabidhi begi la vitu vyake. Akiuliza kuna nini ndani mwambie ni suprise hivyo aende akafungulie ndani. Akifika ndani kufungua begi hautamuina tena kwako. Ingawa utakua umepata hasara ya begi ulilotumia kuwekea vitu vyake.
Mbinu nyingine ni kama una mpango wa kuhama pale unapoishi basi wewe relax tu. Kodi ikiisha atapata majibu yake.
.... ungekuwa bado hii inaonekana ni muswano sana maana nime... :D:D:D:D:D :D:D:D:D hahaaa.
 
1.Siku ya kwanza atakuja na chupi mbili, moja anaifua anaacha bafuni na nyingine anaivaa anaondoka asubuhi.

2.Siku ya pili anakuja na khanga anaivaa usiku, asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka.

3.Siku ya Tatu, anasahau pete na mkoba juu ya meza anakwambia "hny" nitunzie hereni zangu na mkoba nimesahau kwenye meza.

4.Siku ya nne, anakuja na vipedo vya kubadilisha na viatul pea 2 anavua high heels anaweka kwenye shoe rack asubuhi anaondoka asubuhi anaondoka na flat shoes anakwenda chuo.

Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na vitu kadha wa kadha, ole wako uvihamishe alipoziweka kasi inaanza. Hao ndo wanawake wa kileo akija na begi nzima si utamuuliza vipi mwezangu na utamkimbiza anahamia taratibu mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa na perfume na mafuta ya rays inakuwa imejaa hereni na foundation, huna haja ya kuuliza ndo kashahamia huyo.

Kifuatacho utaambiwa "hny I miss my days, zamani nilijua ni simu tu za mikononi zinakuwa na missed calls, siku hizi kuna missed days, ukiambiwa hivyo tu jua imeshakula kwako inawindwa ndoa.
Akipata ndoa anaanza kuwinda nje ya ndoa kumiss wanaume hakuishi ataendelea kuwambia waume wenza anawamiss.
 
Akija mara ya nne na tabia ya kiacha vitu. Basi siku hiyo akiondoka wewe vikusanye kusanye jisogeze kituo cha daladala elekea maeneo ya kwao ukifika mwite halafu unamkabidhi begi la vitu vyake. Akiuliza kuna nini ndani mwambie ni suprise hivyo aende akafungulie ndani. Akifika ndani kufungua begi hautamuina tena kwako. Ingawa utakua umepata hasara ya begi ulilotumia kuwekea vitu vyake.
Mbinu nyingine ni kama una mpango wa kuhama pale unapoishi basi wewe relax tu. Kodi ikiisha atapata majibu yake.
Hiyo njia ndefu sana ....kama aliacha chupi mbili siku akirudi akute nne na za mwenzake .....
 
Mkuu upo sahihi Sana Mimi huyu Dem ninayeishi Naye Yaani sijui hata ilianzaje mpaka now tunaishi wote..aise wanawake wajanja Sana...
 
Back
Top Bottom