Kwa wanaume wenye ndoa tu

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe ni mkali, nimekupenda sana kwa vituko vyako kitandani na ninaapa sitokuacha na nnakuomba nawe usiniache, asante sana".

Unajaribu kufikiri kwa nn wife akutumie sms hiyo leo wakati mna miaka zaidi ya mitano ktk ndoa hupati jibu. Unauchuna lkn unaporudi nyumbani na kuchukua cmu yake na kuiangalia unakutana na sms ileile lakini imetumwa pia kwa mtu mwingine na unapokwenda kwenye inbox unakutana na majibu ya sms ile ya kwamba "usijali kwani hata mm nimekupenda sana kwa namna unavyojishughulisha kitandani.

Je, kama ndo yamekukuta wewe ndugu yangu utafanya nini? Amini usiamini tukio hili ni la kweli na limemtokea mdogo wangu ambaye tumeolea familia moja na hadi sasa ni cku nne zimepita amesafiri na cmu ya mkewe pasipo kumweleza chochote hadi arudi wk ijayo. Afanyeje? Nishauri nikamshauri!
 
Kama umeshindwa kumpa kisawasawa ndo athari za moja kwa moja hizo!!
Cha kufanya ni kujipanga ili umpe kisawasawa asihangaike huko nje!
 
pole sana,ninachokushaur kaeni nae muongee nae kwani ndoa haiendesh kidiplomacia nikwa upeo,na fikra pevu ur a man so be strong
 
Mshauri amwambie mkewe kwa ukali kwamba asirudie tena hiyo tabia mbaya.
 
'mesenja kaleta matatizo nyumbani' Max Bushoke na DDC Mlimani Park enzi hizo.........just remembering aloud.
 
Kama umeshindwa kumpa kisawasawa ndo athari za moja kwa moja hizo!!
Cha kufanya ni kujipanga ili umpe kisawasawa asihangaike huko nje!
Jamaa ameniambia kwamba huwa anampiga nje ndani hadi mwanamke mwenyewe anasema basi na ndo kinachomshangaza zaidi, au ampige ndogo kabisa? Ana wasiwasi jamaa huenda kapitiliza huko!
 
Amepata ukweli kuhusu mke wake na sasa akae chini aamue. Ama kuendelea mbele au kuzima gari na kulitelekeza!

Hana tena nafasi zaidi ya kufanya maamuzi magumu. Pia ajiangalie kama na yeye ni msafi ki hivyo. Kama ni ajali ya kimapenzi ambayo hata yeye ingeweza kumpata wakati wowote auchune tu na kuendelea na maisha!

Hata hivyo anaweza kumwonesha mkewe hiyo sms na kumwomba siku nyingine awe makini ili aache kumrusha roho! Vinginevyo huyo ndiye my wife wake!!!
 
Amepata ukweli kuhusu mke wake na sasa akae chini aamue. Ama kuendelea mbele au kuzima gari na kulitelekeza!

Hana tena nafasi zaidi ya kufanya maamuzi magumu. Pia ajiangalie kama na yeye ni msafi ki hivyo. Kama ni ajali ya kimapenzi ambayo hata yeye ingeweza kumpata wakati wowote auchune tu na kuendelea na maisha!

Hata hivyo anaweza kumwonesha mkewe hiyo sms na kumwomba siku nyingine awe makini ili aache kumrusha roho! Vinginevyo huyo ndiye my wife wake!!!
Hapo kwenye red jamaa si msafi kihivyo, hata hivyo ushauri wako ntaufikisha kwake.
 
Kazi kweli! Ndoa ndoano! Kuishi na mtu mzima mwenzio kazi kweli, unaweza kuwa unajituma, unajishughulisha, unamridhisha na bado akatoka nje tu. Binafsi naomba Mungu nisije kujua kama kuna kitu kama hicho na mimi kama ninafanya au nitafanya hayo basi na yeye asijue basi! Siku nitakapojua basi mambo yote yataishia hapo hapo, I mean itakuwa mwisho maana hapo tutakuwa tumeadharauliana vya kutosha
 
Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe ni mkali, nimekupenda sana kwa vituko vyako kitandani na ninaapa sitokuacha na nnakuomba nawe usiniache, asante sana". Unajaribu kufikiri kwa nn wife akutumie sms hiyo leo wakati mna miaka zaidi ya mitano ktk ndoa hupati jibu.

Unauchuna lkn unaporudi nyumbani na kuchukua cmu yake na kuiangalia unakutana na sms ileile lakini imetumwa pia kwa mtu mwingine na unapokwenda kwenye inbox unakutana na majibu ya sms ile ya kwamba "usijali kwani hata mm nimekupenda sana kwa namna unavyojishughulisha kitandani. Je, kama ndo yamekukuta wewe ndugu yangu utafanya nini?

Amini usiamini tukio hili ni la kweli na limemtokea mdogo wangu ambaye tumeolea familia moja na hadi sasa ni cku nne zimepita amesafiri na cmu ya mkewe pasipo kumweleza chochote hadi arudi wk ijayo. Afanyeje? Nishauri nikamshauri!
Never for give the cheater always
 
Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe ni mkali, nimekupenda sana kwa vituko vyako kitandani na ninaapa sitokuacha na nnakuomba nawe usiniache, asante sana". Unajaribu kufikiri kwa nn wife akutumie sms hiyo leo wakati mna miaka zaidi ya mitano ktk ndoa hupati jibu. Unauchuna lkn unaporudi nyumbani na kuchukua cmu yake na kuiangalia unakutana na sms ileile lakini imetumwa pia kwa mtu mwingine na unapokwenda kwenye inbox unakutana na majibu ya sms ile ya kwamba "usijali kwani hata mm nimekupenda sana kwa namna unavyojishughulisha kitandani. Je, kama ndo yamekukuta wewe ndugu yangu utafanya nini? Amini usiamini tukio hili ni la kweli na limemtokea mdogo wangu ambaye tumeolea familia moja na hadi sasa ni cku nne zimepita amesafiri na cmu ya mkewe pasipo kumweleza chochote hadi arudi wk ijayo. Afanyeje? Nishauri nikamshauri!

AFANYE YAFUATAYO:
  1. Asimfukuze mke
  2. Ila ajue tu kuwa hapo hana mke tena
  3. Amwoneshe mke hizo sms zote, aliyotumiwa na zile alizokuta kwenye simu ya mke wake
  4. Asitukane wala kukasirika wala kuonesha reaction ya namna yeyote
  5. Kwa kuwa mkewe amecheat na hatoweza kumwamini tena, aangalia kama ataweza kuendelea naye katika tendo la ndoa au la, hapo ataamua mwenyewe
  6. Asipunguze huduma kwa familia.
  7. Atafute mwanamke mwingine wa kumpoza aka nyumba ndogo
  8. Asimwoneshe mwenzake kama ana nyumba ndogo
  9. Ikiwezekana nguo afue kwa dobi au afue mwenyewe au hata akimwacha afue sio mbaya
  10. Asihusike tena na masula ya mke wake zaidi ya kutoa kodi ya meza na huduma za watoto
  11. Asikubali vikao vya kusuluhisha wala nafasi ya kuliongelea jambo hilo na mkewe
  12. Halafu maisha yaendelee [Maana yake ni ADHABU YA KISAIKOLOJIA)
  13. Kimsingi hapo mke umempa talaka, ila yeye anashindwa kujua uamuzi wako
Utanipatia taarifa baada ya miezi mitatu kama mwanamke hajakonda kinoma ama kukimbia nyumba.
  1. Mke akikimbia asimfuate wala kubembeleza
  2. Lengo ni kumpa nafasi mwanamke afanye kila anachotaka
NB: Baada ya kama mwezi hivi nipe feedback
 
Au yamekukuta wewe?
Hayajanikuta mimi mkuu, nisingeficha ukweli ni huyo mdogo wangu wa kuoa katika familia moja. Amenisimulia kisa hiki ili nifikirie ili akirudi safari tukae tuyajadili kabla ya yy kuchukua maamuzi, ila cmu ya my wife wake ameondoka nayo.
 
Wakikumegea mkeo na wewe tafuta mnyonge wako mmegee. ("tatizo la wamegaji, wanamega kuzdi mpaka mkeo anakuona boya"}
 
Mkuu mwambie tu kuwa hayo ni mambo ya kawaida. Tumeoa wanadamu, hatujaoa malaika. Kila binadamu ana mapungufu naamini hata yeye anayo. Amuonye mkewe kwa namna yeyote ile, (japo kwa maneno machche na ya upole itafanya kazi zaidi). Ajitahidi kumsamehe na maisha yaendelee...
 

AFANYE YAFUATAYO:
  1. Asimfukuze mke
  2. Ila ajue tu kuwa hapo hana mke tena
  3. Amwoneshe mke hizo sms zote, aliyotumiwa na zile alizokuta kwenye simu ya mke wake
  4. Asitukane wala kukasirika wala kuonesha reaction ya namna yeyote
  5. Kwa kuwa mkewe amecheat na hatoweza kumwamini tena, aangalia kama ataweza kuendelea naye katika tendo la ndoa au la, hapo ataamua mwenyewe
  6. Asipunguze huduma kwa familia.
  7. Atafute mwanamke mwingine wa kumpoza aka nyumba ndogo
  8. Asimwoneshe mwenzake kama ana nyumba ndogo
  9. Ikiwezekana nguo afue kwa dobi au afue mwenyewe au hata akimwacha afue sio mbaya
  10. Asihusike tena na masula ya mke wake zaidi ya kutoa kodi ya meza na huduma za watoto
  11. Asikubali vikao vya kusuluhisha wala nafasi ya kuliongelea jambo hilo na mkewe
  12. Halafu maisha yaendelee [Maana yake ni ADHABU YA KISAIKOLOJIA)
  13. Kimsingi hapo mke umempa talaka, ila yeye anashindwa kujua uamuzi wako
Utanipatia taarifa baada ya miezi mitatu kama mwanamke hajakonda kinoma ama kukimbia nyumba.
  1. Mke akikimbia asimfuate wala kubembeleza
  2. Lengo ni kumpa nafasi mwanamke afanye kila anachotaka
NB: Baada ya kama mwezi hivi nipe feedback
Unatisha mkuu, sawa nitamweleza kama ulivyonishauri.
 

AFANYE YAFUATAYO:

  1. Asimfukuze mke
  2. Ila ajue tu kuwa hapo hana mke tena
  3. Amwoneshe mke hizo sms zote, aliyotumiwa na zile alizokuta kwenye simu ya mke wake
  4. Asitukane wala kukasirika wala kuonesha reaction ya namna yeyote
  5. Kwa kuwa mkewe amecheat na hatoweza kumwamini tena, aangalia kama ataweza kuendelea naye katika tendo la ndoa au la, hapo ataamua mwenyewe
  6. Asipunguze huduma kwa familia.
  7. Atafute mwanamke mwingine wa kumpoza aka nyumba ndogo
  8. Asimwoneshe mwenzake kama ana nyumba ndogo
  9. Ikiwezekana nguo afue kwa dobi au afue mwenyewe au hata akimwacha afue sio mbaya
  10. Asihusike tena na masula ya mke wake zaidi ya kutoa kodi ya meza na huduma za watoto
  11. Asikubali vikao vya kusuluhisha wala nafasi ya kuliongelea jambo hilo na mkewe
  12. Halafu maisha yaendelee [Maana yake ni ADHABU YA KISAIKOLOJIA)
  13. Kimsingi hapo mke umempa talaka, ila yeye anashindwa kujua uamuzi wako
Utanipatia taarifa baada ya miezi mitatu kama mwanamke hajakonda kinoma ama kukimbia nyumba.
  1. Mke akikimbia asimfuate wala kubembeleza
  2. Lengo ni kumpa nafasi mwanamke afanye kila anachotaka
NB: Baada ya kama mwezi hivi nipe feedback


Hii ni adhabu kali sana ni bora ampe talaka kuliko kumfanyia hili
 
Back
Top Bottom