babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,160
- 5,970
kama nawaona vile hahaha polenisi bora ungekua wewe kuliko yule mshenzi uhuni aliotufanyia
We vuta tu picha vile tunajuaga kujiachia tunapojua tuko ke wenyewe
kama nawaona vile hahaha polenisi bora ungekua wewe kuliko yule mshenzi uhuni aliotufanyia
We vuta tu picha vile tunajuaga kujiachia tunapojua tuko ke wenyewe
Sio cocastic huyo?mana huyo Ni mwanaume Kwa Mbele mwanamke kwa nyumaAcha tu niishie hapo maana yumo humu
Ila alijua kutuchefua
Sio cocastic huyo?mana huyo Ni mwanaume Kwa Mbele mwanamke kwa nyuma
Mambo kama hayo yanasikitisha sana...
Kuna siku topic ilihusu nilishindwa kuvumilia
teenaah uniache wee babuuuh lol, unataka mjukuu mkweo akuue? Unajua anapata utamu gan ktk mdomo angu? UwiiiiHuna adabu hicho kimdomo kuna siku takifyonza mpakakiache misonyo...!
wee huna akili khaaahIla nikifaudu loh
Hii bwana ilitutokea kwenye group letu tulikuwa tunajijua tupo wanawake tupu
Kumbe kuna mwanaume na anaingia inbox kutongoza mwisho wa siku watu wakaongea kuna mwanaume humu anatutongoza na kuleftishwa hapohapo
Nilid... mpaka nikawa naumwa