Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 637
1.wivu wa kupindukia(kusearch simu)
2.Dharau
3.kukosa maono
4.uzembe
5.kupika hovyo/kuchelewa kupika
2.Dharau
3.kukosa maono
4.uzembe
5.kupika hovyo/kuchelewa kupika
Tafsiri isiyo rasmi nimeambiwa ni wivu wa kununua kusiko na sababuWataalam Gubu ndo nini au ndo tabia mpya
Hayo masharti peleka huko kwenu group la watsapp...nimeona nami nichangie TU
Oooh thank you darling, nikiri tu hii mada ni nzuri sana ila kukomalia wanaume tu eti hataki wanawake kwenye mada yake, inaleta maswali mengi,Hayo masharti peleka huko kwenu group la watsapp...nimeona nami nichangie TU
Ha ha ha mmmnh mnakuaga na speed nyiemimi kwanza ,wote na mke wangu tunajua kuendesha gari . sasa nikiwa naendesha mimi full kuelekezwa punguza mwendo ,unamwona huyo ,traffic wale ,hajakugusa huyo bodaboda, usi overtake hapo,
Alafu ukute wewe ndio umemfundisha kuendesha gari aisee. Anakuelekeza wakati wewe ndio uliemfundisha. Me nikitoka nae namwambia endesha tu wewe au kaa kimyamimi kwanza ,wote na mke wangu tunajua kuendesha gari . sasa nikiwa naendesha mimi full kuelekezwa punguza mwendo ,unamwona huyo ,traffic wale ,hajakugusa huyo bodaboda, usi overtake hapo,
Huku ni kwa wavulana endeleei tu ngoja niende kwa,mwintore
Oooh thank you darling, nikiri tu hii mada ni nzuri sana ila kukomalia wanaume tu eti hataki wanawake kwenye mada yake, inaleta maswali mengi,
1 Je anataka kuchat na wanaume tu?
2 Kuja kwetu hapa tutamzibia kitu gani hasa?
3 Anatafuta attention kwa lazima maana yeye anachangia ila sie ndo tuishie kutazama tu?
Ni heri angeunda kakikundi na members wake wakawa me tupu yeye akawa muongozaji, aache tabia za ubinafsi uliopitiliza
Mada nzuri mno Kuna mengi ya kujifunza ila kutuwekea mipaka eti tusichangie Ni mavi ya kuku, maana kinachoongelewa hapa kinahusu wanawake
Comment kama hizi zinawakatisha tamaa wanaume. Umeona kabisa kwenye thread yangu nimeandika kupata comment za wanaume ili baadae nizicompile nipate cha kudiscuss na wanawake.Oooh thank you darling, nikiri tu hii mada ni nzuri sana ila kukomalia wanaume tu eti hataki wanawake kwenye mada yake, inaleta maswali mengi,
1 Je anataka kuchat na wanaume tu?
2 Kuja kwetu hapa tutamzibia kitu gani hasa?
3 Anatafuta attention kwa lazima maana yeye anachangia ila sie ndo tuishie kutazama tu?
Ni heri angeunda kakikundi na members wake wakawa me tupu yeye akawa muongozaji, aache tabia za ubinafsi uliopitiliza
Mada nzuri mno Kuna mengi ya kujifunza ila kutuwekea mipaka eti tusichangie Ni mavi ya kuku, maana kinachoongelewa hapa kinahusu wanawake
Asante sana. point no 5 pinned.1.wivu wa kupindukia(kusearch simu)
2.Dharau
3.kukosa maono
4.uzembe
5.kupika hovyo/kuchelewa kupika
🤣🤣🤣🤣Kupekua simu yangu
Wivu
Kuniuliza nipo wapi au nilipokua
Kunipangia mda wa kurudi
Kuombaomba hela kuliko mlemavu
Naona hayo hapo juu ni universal
kuna makosa nimekuwa nikifanya bila kujua kama namkera mwenza