Kwa Wanaume tu: Tunapoamua Kujenga Nyumba Ndogo

Hivi Asprin na Kaizer ndio wameenda kujisalimisha kwenye nyumba ndogo kwanza halafu ndio warudi (Natumaini shem wangu PA ataona comment hii) maana huyu bro nae simuelewi siku hizi ana disappear bila maelezo


PA haya ni maandishi tu dearest... Chukua Diary kama umeeandika ya humu chana zooote! labada kama umenakili post yangu tu!! lol (hawa jamaa usipoangalia waweza potea... waache hivo hivo)
 
PA haya ni maandishi tu dearest... Chukua Diary kama umeeandika ya humu chana zooote! labada kama umenakili post yangu tu!! lol (hawa jamaa usipoangalia waweza potea... waache hivo hivo)
Shem afazali umpe angalizo huyu dogo. Asije akaiga tembo kuachia mashuzi...... Mwambie kuna dogo mwenzie kaanzisha sredi kule anataka kufundishwa ni muda upi mzuri wa kufanya mapenzi.....khaa! JF zaidi ya niijuayo!
 
Hivi na hao wahudumu wanavyobadilishwa na walevi nao ni nyumba ndogo au wapita njia?

Kama unaweza kumlipia Bar Maid "Kodi ya Chumba" sorry "Nyumba" inamaanisha huyo ni "nyumba ndogo" by default. Hii ndiyo "criteria" namba moja ya mwanamke kuwa "nyumba ndogo"!

Kwa kuweka sawa criteria hizi hapa :- (Mwanamke yeyote ambaye siyo mke wako kisheria and yet unaweza kumsaidia yafuatayo ana-qualify kuwa small-house):
- Lipa Kodi
- Nunua "Furniture"
- Somesha Ndugu, watoto, e.t.c
- Mnunulie "vitz"
- Regular "outings"
- Mnunulie kiwanja (Goba! - Wakazi wa Goba samahani)
- e.t.c
 
Yamepita mengi, na si unajua nna mahaba na mwandiko wako? Hebu nipe contacts za mwalimu wako wa mwandiko anifunzie na Matesha wangu bana.......... Na hapa unaandika kwa herufi ndogo, ukiandika kwa herufi kubwa ODM mbona atakufa akikumisi. (Naomba umpe hommie limbwata, naona anamnyemelea soulmate wangu Gaga ambaye pia ni dada yako)

Mwandiko ODM.... Oh! she was a great Indian teacher.... pause kidogo tumkumbuke....................... Inataosha.... No contacts, mie mwanafunzi wake sasa ndio mwalimu, with permission from my Love tutaanza tuisheni mara moja! (we ndo umeliegeza Mapenzi kwa Gaga... kwa ujenzi unaotaka kufanya... Hivo Sweetie anampoza asiumie saana)
 
Shem afazali umpe angalizo huyu dogo. Asije akaiga tembo kuachia mashuzi...... Mwambie kuna dogo mwenzie kaanzisha sredi kule anataka kufundishwa ni muda upi mzuri wa kufanya mapenzi.....khaa! JF zaidi ya niijuayo!


Ngoja nitoke nje ya this thread.... I am in a Lazy mood wala sielewi nini kinaendelea nje huko....lol
 
Mwandiko ODM.... Oh! she was a great Indian teacher.... pause kidogo tumkumbuke....................... Inataosha.... No contacts, mie mwanafunzi wake sasa ndio mwalimu, with permission from my Love tutaanza tuisheni mara moja! (we ndo umeliegeza Mapenzi kwa Gaga... kwa ujenzi unaotaka kufanya... Hivo Sweetie anampoza asiumie saana)
Oh.... RIP mwalimu wa Shem.....(Shem wanionea bure ujue.....Mi mwenyewe ndo huwa nanunua limbwata nampa anigee, ntalegezaje? Au anampa na hommie? Itabidi tuunde tume wallah)
 
Oh.... RIP mwalimu wa Shem.....(Shem wanionea bure ujue.....Mi mwenyewe ndo huwa nanunua limbwata nampa anigee, ntalegezaje? Au anampa na hommie? Itabidi tuunde tume wallah)


Asante ODM... ndo nyumbani huko.... (Mbona sasa Sweetie kwangua hajapunguza kitu wala speed ya kitu chochote?? lol Shem labda tuunde tume ya wote wanne... maana ikiwa mimi na wewe tu......)
 
Sijaona hii post, kwanza najua wamekuibia pass word watu wabaya wanataka tugombane
 
The above Posts have been DELETED By "PAINKILLER" With Collaboration with "INNOVATOR"


Darling Kaizer na Darling Shem ODM bahati nzuri hizi posts zimefutwa na sijazisoma!!!! Khaaa!! (alafu nyie msipoangalia nyie.... Ohooo!!!)

Oups! Nashukuru PAW hajaziona, tungewekwa lupango na hommie wangu, ningeongea na King'asto (damn hili jina bana, khaa) aniazime ile kitu yake..... BTW hivi unajua navyokumisi? hebu do the needful!
Very funny
 
Hommie kwanini tuna nini mimi na wewe? Hujui muda wangu bado haujafika? LOL

Siku ya kwanza unatesti Zari - Hotelini with condom, na ulevi kumkichwa
Siku ya pili unathibitisha ulichokipata hotelini kama ni for real - Guest House with condom na ulevi kumkichwa
Siku ya tatu unataka kuhakikisha kama ni kweli - Guest house with condom, bila ulevi kumkichwa
Siku ya nne chumbani kwake bila condom
Siku ya tano unarudia room kwake
Siku ya sita unamwonyesha namba za simu za mkeo, ili waifu akistuka akampigia apokee kwa tahadhari
Siku ya saba ukitoka kazini unapitia kwake
Siku ya nane, unachangia kodi ya nyumba
Siku ya tisa unanunua samani za ndani

Ukiweka interval ya siku tano tano katika matukio hayo utakuta tisa mara tano ni 45. Kama unajua kufanya approximation, utakuta kama mnamegana kwa miezi miwili consecutively huyo tayari anakuwa kishakuwa nyumba ndogo

Gaga, my soulmate tafazali usiisome hii posti, ni kwa ajili ya makahaba, mashangingi, mamalaya, mashankupe, machakubimbi na mianaume yao isiyorizika na nyumba zilizoezekwa kwa vigae na badala yake kukimbilia kwenye vibanda vilivyoezekwa kwa mabati ya madebe vinavyovuja mvua ikinyesha.
i mean this, yaani soulmate umeacha wamekuibia password kabisaaaaaa, wanataka tugombane, ngoja niondoke ofisini niende home kwanza
 
Hivi nilikua wapi hadi nakuta wajenzi washajenga magorofa yao madogo hapa....

Hujambo SL?
Mi pia nakushangaa, ulikuwa kwenye ile nyumba ya makuti inayovuja kama ya ODM au?.. Mi sijambo RR! Mwambie huyo nyumba ya makuti aache tabia ya kuloweka suruali bana!...
 
Mi pia nakushangaa, ulikuwa kwenye ile nyumba ya makuti inayovuja kama ya ODM au?.. Mi sijambo RR! Mwambie huyo nyumba ya makuti aache tabia ya kuloweka suruali bana!...

nyumba nyingine ni balaa...hapa hata kazini naenda kwa ruhusa maalum, chezea nyumba ndogo toka tanga.
 
nyumba nyingine ni balaa...hapa hata kazini naenda kwa ruhusa maalum, chezea nyumba ndogo toka tanga.
Hahahaha! Kila dakika chumba kimefukizwa udi..nazi mpaka kwenye maji ya kuoga...lol...huyo nna hakika ushampatia na namba za my wife wako...
 
Hahahaha! Kila dakika chumba kimefukizwa udi..nazi mpaka kwenye maji ya kuoga...lol...huyo nna hakika ushampatia na namba za my wife wako...

hahahaa...huyu anafaham hadi nyumbani kwa nyumba kubwa....kilichobaki ni kungoja rescue yako! btw, hapa thredi inasemaje?
 
Hivi nilikua wapi hadi nakuta wajenzi washajenga magorofa yao madogo hapa....

Hujambo SL?

hahahaa...huyu anafaham hadi nyumbani kwa nyumba kubwa....kilichobaki ni kungoja rescue yako! btw, hapa thredi inasemaje?


Hommie....ex Saint RR....hapa naona unataka kuanza ujenzi ila nikutahadharishe hiki kiwanja kimeshanunuliwa na mtu na ana hati kabisa...lol
 
i mean this, yaani soulmate umeacha wamekuibia password kabisaaaaaa, wanataka tugombane, ngoja niondoke ofisini niende home kwanza
Soulmate shhhhhh (majirani watasikia, ongea mdogo mdogo bana)

Khaaa! Ngoja nimPM Kaizer nimwulize kama anafahamu maana ya Kaizari....akisema anajua maana yake atakoma, manake itabidi arudishe chenchi yako!.
Ngoja niangalie salio kwenye wallet yangu nione kama kuna umuhimu wa kwenda kwenye ATM.

Hivi nilikua wapi hadi nakuta wajenzi washajenga magorofa yao madogo hapa....

Hujambo SL?
Jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi, tena la pembeni.

Mi pia nakushangaa, ulikuwa kwenye ile nyumba ya makuti inayovuja kama ya ODM au?.. Mi sijambo RR! Mwambie huyo nyumba ya makuti aache tabia ya kuloweka suruali bana!...
Hapa ntahitaji kuombwa radhi. On serious note with seriousness kwa hisani ya PAW.

nyumba nyingine ni balaa...hapa hata kazini naenda kwa ruhusa maalum, chezea nyumba ndogo toka tanga.
:mvutaji:

Hahahaha! Kila dakika chumba kimefukizwa udi..nazi mpaka kwenye maji ya kuoga...lol...huyo nna hakika ushampatia na namba za my wife wako...
:smokin:

hahahaa...huyu anafaham hadi nyumbani kwa nyumba kubwa....kilichobaki ni kungoja rescue yako! btw, hapa thredi inasemaje?
Naenda kuikana signature yangu...........! Afu nakusemea kwa nyumba ya vigae.

Hommie....ex Saint RR....hapa naona unataka kuanza ujenzi ila nikutahadharishe hiki kiwanja kimeshanunuliwa na mtu na ana hati kabisa...lol
Kibaya zaidi nasikia kiwanja chenyewe kimenunuliwa na mtoto wa Gadaffi........ hommie, utahudhuria mazishi ya hommie?
 
Ila twende nyuma twende mbele, nyumba ndogo zinafaidi jamani, yaani utakuta jamaa kwake round moja chali, kwa nyumba ndogo mpaka povu linamtoka,bado atapewa story za nyumba kubwa zooote bila chenga, hapo inampa urahisi wa kurekebisha zile weakness za nyumba kubwa, inauma sana
 
Back
Top Bottom