AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Hivi Asprin na Kaizer ndio wameenda kujisalimisha kwenye nyumba ndogo kwanza halafu ndio warudi (Natumaini shem wangu PA ataona comment hii) maana huyu bro nae simuelewi siku hizi ana disappear bila maelezo
PA haya ni maandishi tu dearest... Chukua Diary kama umeeandika ya humu chana zooote! labada kama umenakili post yangu tu!! lol (hawa jamaa usipoangalia waweza potea... waache hivo hivo)