Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Hapo utaishia kuchezewa tu, alafu wawekezaji wanachapa mwendo
tunachezeana aisee, najua kabisa sio wangu. Lazima nicheze kwa akili.
Hapo utaishia kuchezewa tu, alafu wawekezaji wanachapa mwendo
Bado hatujaelewana...iweje shankupe aitwe nyumba ndogo?...tupe jibu babu yetu mpendwa!..Mimi ODM ako hapa. Mmesharizika na kuelewana kuhusu huu mjadala pendwa?........ SL nakudai ujue? Haya ukuje huku tupate lunch wakati natafakari mustakabali wa nyumba ndogo yangu.
tunachezeana aisee, najua kabisa sio wangu. Lazima nicheze kwa akili.
Hommie, SL ananilisha maneno, mie hajawahi tamka hiyo maneno. Sikumbuki kaa nlishawahi imba taarab bana....hahaha ODM hebu fafanua hii kitu? inaenda against nature...
unaenda kinyume na kanuni ya 'mapenzi hufuata mkondo"...
Bado hujaelewana na nani? Na kumbe mie ni babuyo weye na nani?Bado hatujaelewana...iweje shankupe aitwe nyumba ndogo?...tupe jibu babu yetu mpendwa!..
Hiyo haiwezi kuwa name calling? Lemme check with PAW........mmh! Siijui hiyo kanuni. Kakufundisha babu asp?
Hahahaha....Nyumba ndogo sumbufu zinazaa nyumba ndogo square route mwisho wa siku hit and run.
Baba amekimbia chungu ya nyumba kubwa na nyumba ndogo nayo iwe chungu thubutu
Hiyo haiwezi kuwa name calling? Lemme check with PAW........
Hahahahaha duh
Siku zote nasikia wazazi wanasema kijana wa flani anamchezea binti wa mzee flani
sasa binti mkubwa kabisa utasemaje anachezewa? Wakati anachezewa yeye anakuwa anafanya nini sasa!
Hahahaha! Unavyonichekesha kwa sauti wakati nipo ofisini, nikifukuzwa kazi nakuja kuwa nyumba ndogo yako!..lolHommie, SL ananilisha maneno, mie hajawahi tamka hiyo maneno. Sikumbuki kaa nlishawahi imba taarab bana....
Enenda kwa amani, usitende tena dhambi. Tafadhali usiwaambie watu kuhusu jambo hili.samahani babu.
Kama ametongozwa basi anachezewa maana anadanganywa
Enenda kwa amani, usitende tena dhambi. Tafadhali usiwaambie watu kuhusu jambo hili.
Hommie Kaizer.................. Sredi Klozd!:whoo::whoo::whoo::hug::A S clock::drum:Hahahaha! Unavyonichekesha kwa sauti wakati nipo ofisini, nikifukuzwa kazi nakuja kuwa nyumba ndogo yako!..lol
Kijana na binti ndo wanachezeana. Nyumba ndogo siyo kijana wala binti..Hahahahaha duh
Siku zote nasikia wazazi wanasema kijana wa flani anamchezea binti wa mzee flani