leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,767
- 1,703
Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya akamwambia dereva wake ampeleke JKI airport, akiwa njiani maeneo ya TAZARA akakumbuka kuna document ameisahau nyumbani akaamuru dereva ageuze gari. Alipofika nyumbani Mbezi Beach akamkuta mkewe akiwa bafuni akioga akamnyemelea na kumshika kiuno, mkewe akiwa na mapovu usoni akalitaja jina la dereva wao Jabir na kusema "Umeshamfikisha yule mse...e airport mara hii? acha nikuoshee mashine yako hii utaifaidi mwezi mzima" Ungekuwa ndio wewe ungefanya nini?