Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Kabla ya mtu kuoa au kuolewa ni lazima anakuwa na vigezo vyake lakini mara baada ya kuanza maisha wengine hugundua kuwa aidha walikuwa sahihi au siyo sahihi kipindi walipotoa ridhaa zao na kwa sababu tayari wanakuwa katika ndoa inakuwa ngumu kuachana kwa sababu ndogo ndogo.
Swali? Kama ikitokea watu wakapewa nafasi ya kuoa/kuolewa tena baada ya kuwa katika ndoa aidha ya kidini, kimila au kiserikali ni wangapi ambao wangechagua kuishi na wenzi wao wa sasa?
Naomba kuwakilisha kwa majadiliano.
Swali? Kama ikitokea watu wakapewa nafasi ya kuoa/kuolewa tena baada ya kuwa katika ndoa aidha ya kidini, kimila au kiserikali ni wangapi ambao wangechagua kuishi na wenzi wao wa sasa?
Naomba kuwakilisha kwa majadiliano.