Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu nyingi.

Udongo huo wa asili ni wa hapa Tanzania, hauna madhara mwilini, umekuwa ukitumika na baadhi ya makabila ya Tanzania kwa miaka na miaka kulinda na kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Udongo sasa tumeweza, kuusaga kuwa kama poda na kuuchuja michanga na unaweza kuupaka kiurahisi zaidi kwenye ngozi baada ya kuuchanganya na maji.

Matumizi

Scrubbing, unaweza kujipaka usoni na au mwililini baada ya kuukoroga na maji safi na kuuwacha ukauke mwilini au usoni na kufanya scrubbing kama kawaida.

Masking, unaweza kujipaka usoni au mwilini baada ya kuukoroga na maji safi na ukauacha kama mask na baada kuuosha.

Face Wash, unaweza kuutumia kama face wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za usoni na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona uso unavyokuwa laini na mvuto.

Body Wash, unaweza kuutumia kama body wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za mwilini na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona ngozi inavyokuwa laini na mvuto.

Massage, unaweza kutumia kwa kufanyia massage mwilini, udongo ni laini na unatelezza kama sabuni baada ya kuuchanganya na maji safi, faida za kufanyia massage ni utavipata vyote hivyo juu.

Sun Protection, unaweza kuutumia kama sun protection kwa wale wale wanaofanya kazi za juani kwa muda mrefu, unachanganya na maji safi unajipaka na baada ya shughuli zako unanawa tu, inasaidia kulinada ngozi ya ko na jua, vumbi, na kuifanya iwe mororo na yenye nguvu.

Udongo huu ni mzuri sana na huwezi kuusifia zaidi mpaka uutumie.

Wanawake na wanaume wanaojali ngozi zao na muonekano wao wanaweza kutumia udongo huu.

Kwa sasa Aunt Zainabs Natural Super Clay inapatikana mikoa hii, kama upo nje ya mikoa hiyo tunakusafirishia kwa gharama zako za usafiri. Jumatatu tunategemea kuwa utapatikana na Mwanza:

Dar es Salaam

Dar Home Delivery:
Abdul= 0756803528

Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.

Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220

Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933

Kimara - Mbezi - Ubungo = Jack- 0755155782

Jack yupo Kimara Rombo lakini amejitolea kufanya delivery mpaka Mbezi Mwisho na Ubungo.

Sinza = Aunt Zainab - 0769302206

Tabata = Yusuph Mushi - 0715488669

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480

Arusha

Mama Aida -0754445733

Dodoma

Rukia - 0653249898


Lindi

Nuru - 0717461575

Mbeya

Haule - 0756994850 na 0784658349

Mwanza

Petty - 0763772636

Morogoro

Lina Mafwere - 0754297319 Boma Road.
Tanga

Farouq - 0719190000

Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.

Kwa maelezo yoyote ya ziada wasiliana na Aunt Zainab 0769302206 au babu Abdul 0756803528

Update: 08-04-2015

Bei za Promotion zimekwisha rasmi 31-03-2015 kwa sasa bei zetu ni 3,500 kwa paketi moja (reja reja). Kwa mawakala bei yao ipo juu kidogo.

Dada sisi tupo kigoma mnatusaidiaje
 
upload_2017-4-28_9-16-48.png
 
Zai tujue kwa kiasi gani udongo umekisaidia. Weka sura yako au mtu yyt alie saidiwa Na udongo nazani itatuhamasisha zaid


Ndugu yangu ninakuelewa, lakini si rahisi watu kujitoa sura zao kwenye mitandao ya kijamii na binafsi siwezi kutoa picha za watu hata kwa idhini yao kwenye mitandao ya kijamii labda waziweke wenyewe.

Kama hadi leo hii hujahamasika sijui nikuhamasishe vipi zaidi ya kukuomba uutumie na ujionee mwenyewe.

Karibu sana.
 
Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu nyingi.

Udongo huo wa asili ni wa hapa Tanzania, hauna madhara mwilini, umekuwa ukitumika na baadhi ya makabila ya Tanzania kwa miaka na miaka kulinda na kufanya ngozi zao ziwe za kuvutia.

Udongo sasa tumeweza, kuusaga kuwa kama poda na kuuchuja michanga na unaweza kuupaka kiurahisi zaidi kwenye ngozi baada ya kuuchanganya na maji.

Matumizi

Scrubbing, unaweza kujipaka usoni na au mwililini baada ya kuukoroga na maji safi na kuuwacha ukauke mwilini au usoni na kufanya scrubbing kama kawaida.

Masking, unaweza kujipaka usoni au mwilini baada ya kuukoroga na maji safi na ukauacha kama mask na baada kuuosha.

Face Wash, unaweza kuutumia kama face wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za usoni na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona uso unavyokuwa laini na mvuto.

Body Wash, unaweza kuutumia kama body wash badala ya sabuni zenye makemikali, ni mzuri sana unateleza kama sabuni na hauna madhara, unaondoa vipele na rushes za mwilini na ngozi iliyokufa, mara ya kwanza tu utaona ngozi inavyokuwa laini na mvuto.

Massage, unaweza kutumia kwa kufanyia massage mwilini, udongo ni laini na unatelezza kama sabuni baada ya kuuchanganya na maji safi, faida za kufanyia massage ni utavipata vyote hivyo juu.

Sun Protection, unaweza kuutumia kama sun protection kwa wale wale wanaofanya kazi za juani kwa muda mrefu, unachanganya na maji safi unajipaka na baada ya shughuli zako unanawa tu, inasaidia kulinada ngozi ya ko na jua, vumbi, na kuifanya iwe mororo na yenye nguvu.

Udongo huu ni mzuri sana na huwezi kuusifia zaidi mpaka uutumie.

Wanawake na wanaume wanaojali ngozi zao na muonekano wao wanaweza kutumia udongo huu.

Kwa sasa Aunt Zainabs Natural Super Clay inapatikana mikoa hii, kama upo nje ya mikoa hiyo tunakusafirishia kwa gharama zako za usafiri. Jumatatu tunategemea kuwa utapatikana na Mwanza:

Dar es Salaam

Dar Home Delivery:
Abdul= 0756803528

Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.

Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220

Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933

Kimara - Mbezi - Ubungo = Jack- 0755155782

Jack yupo Kimara Rombo lakini amejitolea kufanya delivery mpaka Mbezi Mwisho na Ubungo.

Sinza = Aunt Zainab - 0769302206

Tabata = Yusuph Mushi - 0715488669

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480

Arusha

Mama Aida -0754445733

Dodoma

Rukia - 0653249898


Lindi

Nuru - 0717461575

Mbeya

Haule - 0756994850 na 0784658349

Mwanza

Petty - 0763772636

Morogoro

Lina Mafwere - 0754297319 Boma Road.
Tanga

Farouq - 0719190000

Bei za wasambazaji zitatofautiana na bei zetu za promotion kwa sasa, kwani kuna gharama wanazoingia za usafirishaji na faida yao.

Kwa maelezo yoyote ya ziada wasiliana na Aunt Zainab 0769302206 au babu Abdul 0756803528

Update: 08-04-2015

Bei za Promotion zimekwisha rasmi 31-03-2015 kwa sasa bei zetu ni 3,500 kwa paketi moja (reja reja). Kwa mawakala bei yao ipo juu kidogo.
Fursa Kwa Wajasiliamali wa JF. Karibu Ujitangaze Kupitia SABA SABA NA PPR Utokee Kwenye TV 5!. - Google Search

Paskali
 
Back
Top Bottom