MAMNYOKA
Senior Member
- May 24, 2014
- 163
- 48
Habari za jioni jamani kuna tania moja kwa baadhi ya wanaume hii tania inashangaza na hata ukijaribu kutafuta maana yake hupati.
Ni hivi unakuta mwanaume mmeshaachana kitambo tu kila mtu anamaisha yake lakini kinachoshangaza ni mmoja kati yao kutokubali matokeo.
Hasa wanaume unampangia mtu aishi vipi afanye nini wewe inakuhusu nini kwa nini ukiamua ku move on usi move kweli kweli unaanza kuongea ongea Mara uchokoze watu ujue wapo kwenye mood gani hii haitakusaidia ungejua umuhimu wa huyo mtu tangu kitambo ungemjali unajifanya unajua kushauri baada ya kuachana huo ni ujinga ukiachana na mtu muache aendelee na maisha yake mda wako kwake umeshaisha.
Kudukua mawasiliano,
Kumtoa kasoro,
Kumtukana au kupanga mbinu za kumuumiza hazitasaidia,
Kama unamaisha yako endelea nayo na sikujifanya unajua sana kutoa kibanzi kwenye macho ya wengine wakati kwako vimejaa ni hayo tu kila mtu apambane na maisha yake kufatilia ya wengine hakikusaidii na hakubadilishi ukweli zaidi ya kujishushia hadhi na kuonekana mwanaume suruali.
Ni hivi unakuta mwanaume mmeshaachana kitambo tu kila mtu anamaisha yake lakini kinachoshangaza ni mmoja kati yao kutokubali matokeo.
Hasa wanaume unampangia mtu aishi vipi afanye nini wewe inakuhusu nini kwa nini ukiamua ku move on usi move kweli kweli unaanza kuongea ongea Mara uchokoze watu ujue wapo kwenye mood gani hii haitakusaidia ungejua umuhimu wa huyo mtu tangu kitambo ungemjali unajifanya unajua kushauri baada ya kuachana huo ni ujinga ukiachana na mtu muache aendelee na maisha yake mda wako kwake umeshaisha.
Kudukua mawasiliano,
Kumtoa kasoro,
Kumtukana au kupanga mbinu za kumuumiza hazitasaidia,
Kama unamaisha yako endelea nayo na sikujifanya unajua sana kutoa kibanzi kwenye macho ya wengine wakati kwako vimejaa ni hayo tu kila mtu apambane na maisha yake kufatilia ya wengine hakikusaidii na hakubadilishi ukweli zaidi ya kujishushia hadhi na kuonekana mwanaume suruali.