SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Ni mara nyingi sana kwa sisi wanaume.. mtu unapokuwa unamfukuzia gal huwa tunashow sana LOVE and CARE and also at a time unakuwa humuoni wa kulinganishana naye..Lakini baada ya ku'do' naye mara nyingi ile pressure na zile swaga za mwanzo hupungua (simaanishi kwa wote)..Hivi hapa issue ni kwamba huwa sisi wanaume Mapenzi yetu yamejengwa zaidi kuwavua c.h..p wadada?..Does this mean that sex ndio factor ya kuendelea kuwa na demu au otherwise?..Hebu tupeane uzoefu basi kidogo..