Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Nilipobold hapo nimeelewa tatizo huwa ninini, Competition! Kwamba akikulisha anaona anakumuduuu? Aisee sisi wanawake Mungu atusaidie sana. Sisi mbona tunalishwa/tunzwa maisha yetu yote? Binafsi mimi huwa pesa yangu naitoa mwenyewe na kuomba tuipangie matumizi sababu kila kitu kinakuwa sorted by him, na mimi sio mwanamke wa misaluni na kununua nunua mitrend, somehow i manage kutunza my money. Ila nimegundua kuwa fanya mazuri kwa mkeo/mumeo ukiwa vizuri siku mambo yakienda kombo akiamua kurudisha fadhila sawa, akikengeuka atakutana na rungu la KARMA.

Women, ngoja niwaambie kitu, kama mumeo akikwama sio lazima umlishe na kumtunza bali mwoneshe njia, mpe connection au mpe mtaji, Naelewa watu wanakuwa protective kwamba nikimfanyia hivi what if akija kuniumiza/kuniacha au kupata mchepuko, jamani do your part kuumizwa ni part ya maisha pia, iachie dunia itamfunza. Tusione ndoa za watu zimedumu miaka na miaka watu wameanguka na kunyanyuana mara nyingi sana, tena baadhi ya wanawake ni hodari kuingia bank au vikoba au mifuko ya kazini kuwakopea waume zao, hawawaambii siri hawa wenye ndoa zao stable, watajifanya my man this my man that kumbe kuna muda wanakaza matako wenyewe ili
kulinda familia hawatuambii ukweli, matokeo yake sisi wakwetu wakifeli tuko kuwanyanyasa na wenzetu wanatuchora tu!

Anyways, ngoja niache mahubiri ambayo ni impossible, people are so evil, Siku tukijua watu wanawaziana nini tutachanganyikiwa. Hata hivyo hakujawahi kuwa na baya katika kufanya mazuri.

I might fail in everything kwenye marriage ila sio kuacha kutoa support morally or materially. Kila mtu achague anachokiweza na akifanye kwa ufasaha. This is life!
mwanamke akikaza matakro hapo kuboost mbona ndoa inasonga vizuri tu ukute na msambwandwa anao tena kwenye maisha halisi aisee kuachana ni ngumu.
 
Nilipobold hapo nimeelewa tatizo huwa ninini, Competition! Kwamba akikulisha anaona anakumuduuu? Aisee sisi wanawake Mungu atusaidie sana. Sisi mbona tunalishwa/tunzwa maisha yetu yote? Binafsi mimi huwa pesa yangu naitoa mwenyewe na kuomba tuipangie matumizi sababu kila kitu kinakuwa sorted by him, na mimi sio mwanamke wa misaluni na kununua nunua mitrend, somehow i manage kutunza my money. Ila nimegundua kuwa fanya mazuri kwa mkeo/mumeo ukiwa vizuri siku mambo yakienda kombo akiamua kurudisha fadhila sawa, akikengeuka atakutana na rungu la KARMA.

Women, ngoja niwaambie kitu, kama mumeo akikwama sio lazima umlishe na kumtunza bali mwoneshe njia, mpe connection au mpe mtaji, Naelewa watu wanakuwa protective kwamba nikimfanyia hivi what if akija kuniumiza/kuniacha au kupata mchepuko, jamani do your part kuumizwa ni part ya maisha pia, iachie dunia itamfunza. Tusione ndoa za watu zimedumu miaka na miaka watu wameanguka na kunyanyuana mara nyingi sana, tena baadhi ya wanawake ni hodari kuingia bank au vikoba au mifuko ya kazini kuwakopea waume zao, hawawaambii siri hawa wenye ndoa zao stable, watajifanya my man this my man that kumbe kuna muda wanakaza matako wenyewe ili
kulinda familia hawatuambii ukweli, matokeo yake sisi wakwetu wakifeli tuko kuwanyanyasa na wenzetu wanatuchora tu!

Anyways, ngoja niache mahubiri ambayo ni impossible, people are so evil, Siku tukijua watu wanawaziana nini tutachanganyikiwa. Hata hivyo hakujawahi kuwa na baya katika kufanya mazuri.

I might fail in everything kwenye marriage ila sio kuacha kutoa support morally or materially. Kila mtu achague anachokiweza na akifanye kwa ufasaha. This is life!
I love your comment binti kiziwi, hivi bado hujaanza kusikia?

Watu wangejua hizi ndoa zilivyo, wasingekuwa na vichwa vigumu namna hii, tatizo baadhi ya wanawake wanadhani wao wapo kupewa tu, sawa ni jukumu letu kuwatunza. But kuna nyakati mtu lazima uanguke tu, je nikianguka upo tayari kunipa support, hasa ya kiakili ili ninyanyuke tena?

Wengi wanaanza kupigwa mashine huko na kusahau familia. Sad!
 
Kitaa kupo poa kikubwa usichague mishe na iboreshe kazi yako.
Mimi nachoma mishkaki kwa jiko la kushika mikononi.
Nyama kg 4 faida 20000tsh mwanamke kipindi tunalima wote alisumbua sasa heshima ipo
KWA ujuzi njoo INBOX
FB_IMG_16342753048314069.jpg


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.

Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.

Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.

Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,

Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.

Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.

Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,

Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.

Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.

Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.

Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,

Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,

Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Ndoa ilitoboka... So jiandae kisaikolojia
 
Hawa viumbe kuishi nao tabu sana,mnaolalamika kaeni mjue kwamba hawa hawakuumbwa waje kulisha watu nje ya damu zao hata nyie mnaokula good time siku inakuja ombeni Mungu aendelee kuwapa utulivu ktk utafutaji wenu....i mean,mf:akizaa mtoto atamuhudumia 100% uwezo akiwa nao,baba/mama yake (damu yake halisi) atawahudumia kwa 100% bila kulalamika ila kukutunza wewe uliyekaa naye kwa wema akiwa goli kipa hata miaka kumi hujawahi kumfanyia vituko hawezi.

Omba Mungu akusimamie ktk utafutaji wako ufanikiwe huyo akiendelea kuleta dharau na majivuno fukuza uanze upya siyo dhambi.
Mbwa hawa hawafadhiliki mzee mi sina hamu nao
 
Back
Top Bottom