Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Thanx.Ngoma ipo vizuri imetulia sana
DON wewe ni genius!! You are the Superstar!! Maoni tuyatoe wapi sisi!! Wewe kula tu maisha na watoto wazuri mfano Malia Obama, na wengineo wengu tu wa bongo muvi!Karibuni Sana kwa maoni
Haya bwanaDON wewe ni genius!! You are the Superstar!! Maoni tuyatoe wapi sisi!! Wewe kua tu maisha na watoto wazuri mfano Malia Obama, na wengineo wengu tu wa bongo muvi!
Yaani ni ngoma baada ya ngoma!! Hatari sana!! Wapi Masqoooo!!!! Piga kelele kwa Don Nalimison !! Woyooooooooooo!!!
Halafu wewe jamaa ukitoa wimbo mwingine, unishtue basi ili nije kuuza sura!!!Haya bwana
Coted.Halafu wewe jamaa ukitoa wimbo mwingine, unishtue basi ili nije kuuza sura!!!
Wewe siyo mwenzetu tena kwa sasa. Hivyo usinisahau mkuu. Najitahidi sana kukupigia promo humu jukwaani.
Ndo nini.??Coted.
Haya bwana.Halafu wewe jamaa ukitoa wimbo mwingine, unishtue basi ili nije kuuza sura!!!
Wewe siyo mwenzetu tena kwa sasa. Hivyo usinisahau mkuu. Najitahidi sana kukupigia promo humu jukwaani.
HehehehehehehDON wewe ni genius!! You are the Superstar!! Maoni tuyatoe wapi sisi!! Wewe kula tu maisha na watoto wazuri mfano Malia Obama, na wengineo wengu tu wa bongo muvi!
Yaani ni ngoma baada ya ngoma!! Hatari sana!! Wapi Masqoooo!!!! Piga kelele kwa Don Nalimison !! Woyooooooooooo!!!
DON wewe ni genius!! You are the Superstar!! Maoni tuyatoe wapi sisi!! Wewe kula tu maisha na watoto wazuri mfano Malia Obama, na wengineo wengu tu wa bongo muvi!
Yaani ni ngoma baada ya ngoma!! Hatari sana!! Wapi Masqoooo!!!! Piga kelele kwa Don Nalimison !! Woyooooooooooo!!!