Kwa Wanasaikolojia: Mtu huwa anafikiria kwa kutumia lugha anayoijua

Makanyaga

JF-Expert Member
Sep 28, 2007
10,326
6,849
Kwa wanasaikolojia na wengine wote ambao mnapenda kudadisi mambo. Kwa kawaida ili mtu aweze kufikiria, lazima tumie lugha, na lazima iwe ni lugha anayoijua, kwa sababu kwa maana nyingine, kufikiria ni sawa na kuongea mwenyewe kimyakimya, na mtu hawezi kuongea kwa kutumia lugha ambayo haijui! Kwa hiyo ili mtu aweze kufikiria, lazima atimize sifa kuu mbili nazo ni:

MOJA: Lazima atumie lugha fulani katika kufikiria

MBILI: Lugha atakayotumia kufikiria lazima iwe ni ile ambayo anaijua. Mtu hawezi kufikiria kwa kutumia let's Kisukuma, wakati hajui kuongea Kisukuma.

Swali langu sasa ni je, mtoto mdogo asiyejua lugha bado (na si yule asiyejua kuongea, maana mtoto anaweza akajua lugha ila bado akawa hawezi/akachelewa kuongea), huwa anafikiria? Na kama huwa anafikiria, huwa anafikiriaje?

Na kama huwa hafikirii, kwa nini huwa unaweza wakati mwingine ukamfanyia tendo fulani halafu akatabasamu au akacheka? Je, matendo haya ya kucheka au kutabasamu huwa anayafanya kwa kutumia instincts tu au ni vipi?
 
😀😀
Nilikuwa na jamaa wawili kuna mtoto mdogo aliyefikia kukaa wa dada yake tulikuwa nae. Nikamuangaliaaa dogo... Halafu nikamuuliza jamaa, hivi katika hali ya kawaida huyu dogo hapa anaweza kuwa anawaza nini? Niliuliza tu kimasihara jamaa alibaki kucheka.😀😀

Ngoja nisubiri jibu pia.
 
Nijuavyo mtoto wakati huo anakuwa kama CD empty!.. ambayo inasifa za kubeba/kuanza kunakili vitu.. nafikiri mjengeko wa mwili unavyofanya kazi hulazimu mtoto kufanya kitu fulani hata kama hajui.. it's like kuchimba dawa ye kwa wakati wake mwili utamtendesha tu mpk pale atakapokuwa na ufahamu wa kukontro vitendo husika.. I mean ubongo hauji moja kwa moja empty lzm kuna tu asilimia fulani twa ufahamu tuwepo..

Kuhusu lugha ni dhahiri mtoto anakuwa hana ufahamu wa lugha,so hafikirii ktk lugha!.. ila sidhani kama ni kanuni binadamu kufikiria ktk lugha! Ila ni swala la unakiriji tu ndio hufanya kuwa hivyo.. (ubongo ukishanakili ndo huenenda hivyo)..
Mtoto hafikirii ktk lugha ye yupo tu kama alivyo na ufahamu wake huanza kunakili kadri ya upevu wa ubongo wake unavyokuwa!.. ndio maana hata yeye anapotoa taarifa kuwa kusibwa na kitu haongei isipokuwa anatoa sign ya kutoa ukelele usiokuwa na mpangilio (kulia).. naweza kusema kulia ni kitendo natural kutoka ndani yetu.. sawasawa na kucheka pia..

Kulia na kucheka naweza kuupa mfano huu ni kama kitu kinachoreact kutokana na namna msisimko kutoka nje au ndani ulivyoletwa!.. nakosa lugha pana ya kueleza hapa labda nitumie yale mauwa(mmea) ambayo ukiyashika yanasinyaa!.. it means reaction ya mtikisiko ikitokea basi ua nalo linareact kutokana na kanuni za mjengeko wake kibailojia napia yakihisi hakuna mtikisiko wowote ama stress yoyote basi humea..
So hi ni Kama mtoto anavyoreact na mazingira ukimtekenya kitendo hicho kikimfurahisha basi hisia ya kufurahi itajionyesha.. ukimfinya akahisi hisia za maumivu then atareact kama kulia..
Naweza sema kulia kucheka ni kama natural language.

Hayo ni mawazo yangu tu.
 
Nijuavyo mtoto wakati huo anakuwa kama CD empty!.. ambayo inasifa za kubeba/kuanza kunakili vitu.. nafikiri mjengeko wa mwili unavyofanya kazi hulazimu mtoto kufanya kitu fulani hata kama hajui.. it's like kuchimba dawa ye kwa wakati wake mwili utamtendesha tu mpk pale atakapokuwa na ufahamu wa kukontro vitendo husika.. I mean ubongo hauji moja kwa moja empty lzm kuna tu asilimia fulani twa ufahamu tuwepo..

Kuhusu lugha ni dhahiri mtoto anakuwa hana ufahamu wa lugha,so hafikirii ktk lugha!.. ila sidhani kama ni kanuni binadamu kufikiria ktk lugha! Ila ni swala la unakiriji tu ndio hufanya kuwa hivyo.. (ubongo ukishanakili ndo huenenda hivyo)..
Mtoto hafikirii ktk lugha ye yupo tu kama alivyo na ufahamu wake huanza kunakili kadri ya upevu wa ubongo wake unavyokuwa!.. ndio maana hata yeye anapotoa taarifa kuwa kusibwa na kitu haongei isipokuwa anatoa sign ya kutoa ukelele usiokuwa na mpangilio (kulia).. naweza kusema kulia ni kitendo natural kutoka ndani yetu.. sawasawa na kucheka pia..

Kulia na kucheka naweza kuupa mfano huu ni kama kitu kinachoreact kutokana na namna msisimko kutoka nje au ndani ulivyoletwa!.. nakosa lugha pana ya kueleza hapa labda nitumie yale mauwa(mmea) ambayo ukiyashika yanasinyaa!.. it means reaction ya mtikisiko ikitokea basi ua nalo linareact kutokana na kanuni za mjengeko wake kibailojia napia yakihisi hakuna mtikisiko wowote ama stress yoyote basi humea..
So hi ni Kama mtoto anavyoreact na mazingira ukimtekenya kitendo hicho kikimfurahisha basi hisia ya kufurahi itajionyesha.. ukimfinya akahisi hisia za maumivu then atareact kama kulia..
Naweza sema kulia kucheka ni kama natural language.

Hayo ni mawazo yangu tu.
Asante mzee baba.
 
Back
Top Bottom