mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 15,989
- 35,670
Ningekuwa na huo uwezo nisingejiuaMkuu nunua kabisa jeneza,sanda na pesa ya msiba ila ndgu zako wasipate gharama
Ningekuwa na huo uwezo nisingejiuaMkuu nunua kabisa jeneza,sanda na pesa ya msiba ila ndgu zako wasipate gharama
Waambie ndgu,jamaa,marafiki siku gani unajiua ili wawe wanajuaNingekuwa na huo uwezo nisingejiua
Usidhani ni ww tu mkuu.Nimejitahidi ila sasa nimesalim amri sioni namna ya kueouka hiki kikombe
Kuna kipindi nilikutwa na hali hiyo kutokana na ugumu wa maisha uliopitiliza. kila nilichokuwa nikifanya kiliishia pabaya(japo mpaka sasa sina maisha mazuri) Nilikuwa nalala na njaa,sina hata mwelekeo,mtoto amedhoofu kwa utapiamlo,wife mjamzito,vibarua sipati na nikauza mpaka vitu vya ndani ili kulipa madeni na kuhudumia tumbo. Siku moja nikaona hapana bora nife tu(wazo la kujiua halikuja ghafla,ni la muda mrefu)nikakopa elfu 10000 kwa kaka yangu nikamwambia naenda kununua chakula cha familia, nikaenda kununua vidonge vinaitwa flajiri na dawa za usingizi nikaenda kununua kiroba kinaitwa faru cha 2000, nikanywa Ilikuwa mida ya saa 2 usiku kuelekea saa 3,nikawahi home ili nikafie ndani kwangu,nilikuta wife na mtoto wamelala baada ya kunywa uji.Hapo tumbo lilikuwa limeanza kuniuma balaa na usingiz unakuja kwa kasi. Nilijikuta nimelala mpaka saa5 asubuhi,pembeni yangu nikamkuta mwanangu amekaa pembeni yangu akinisubiri niamke ili tucheze pamoja,mama yake alikuwa kajidamka kwenda kutafuta
Kutokana na hali yake nilikauka tu,alirudi na sh 300Dah...uamuzi mbaya sana..je wife ulikuja mweleza?
Mheshimu sana mkeo na umpende...wanaume huwa mna aibu...ww ungetoka uhakika wa kutorudi na msos ni mkubwa zaidi..! All the best!Kutokana na hali yake nilikauka tu,alirudi na sh 300
na dagaa wa buku akapika tukala,japo zile dawa ziliniendesha kwa kipindi kirefu sana
Kati ya vitu nathamini,familia yangu ni namba mojaMheshimu sana mkeo na umpende...wanaume huwa mna aibu...ww ungetoka uhakika wa kutorudi na msos ni mkubwa zaidi..! All the best!
Aise🥰..wanaume mngekuwa hivi wote walah kufa kungepunguaKati ya vitu nathamini,familia yangu ni namba moja
Hakuna tatizo jipya duniani yote ni marejeo tuKuna binadamu wanapitia mambo mazito na magumu sana, ila kujitoa uhai siyo sahihi...
Pole sana man sahKutokana na hali yake nilikauka tu,alirudi na sh 300
na dagaa wa buku akapika tukala,japo zile dawa ziliniendesha kwa kipindi kirefu sana
Aise..wanaume mngekuwa hivi wote walah kufa kungepungua
Hii story imenitoa machizi aiseeKuna kipindi nilikutwa na hali hiyo kutokana na ugumu wa maisha uliopitiliza. kila nilichokuwa nikifanya kiliishia pabaya(japo mpaka sasa sina maisha mazuri) Nilikuwa nalala na njaa,sina hata mwelekeo,mtoto amedhoofu kwa utapiamlo,wife mjamzito,vibarua sipati na nikauza mpaka vitu vya ndani ili kulipa madeni na kuhudumia tumbo. Siku moja nikaona hapana bora nife tu(wazo la kujiua halikuja ghafla,ni la muda mrefu)nikakopa elfu 10000 kwa kaka yangu nikamwambia naenda kununua chakula cha familia, nikaenda kununua vidonge vinaitwa flajiri na dawa za usingizi nikaenda kununua kiroba kinaitwa faru cha 2000, nikanywa Ilikuwa mida ya saa 2 usiku kuelekea saa 3,nikawahi home ili nikafie ndani kwangu,nilikuta wife na mtoto wamelala baada ya kunywa uji.Hapo tumbo lilikuwa limeanza kuniuma balaa na usingiz unakuja kwa kasi. Nilijikuta nimelala mpaka saa5 asubuhi,pembeni yangu nikamkuta mwanangu amekaa pembeni yangu akinisubiri niamke ili tucheze pamoja,mama yake alikuwa kajidamka kwenda kutafuta
Hongera na pole sana kiongozi hakika Mungu anakupenda sana that's why hakutaka ufe mkimbilie yeye utakuwa salamaKati ya vitu nathamini,familia yangu ni namba moja
MachoziHii story imenitoa machizi aisee
Dah...hiyo inaumiza sana sana aisee...dah...ndo changamoto hizoKuna maisha watu wamepitia kulala n njaa ni kawaida n wametusua,shida tumeumbiwa binadamu sisi tupambane nazo...ulishawahi muona mtu tajiri ana asset za kutosha karibia 600m akaishiwa na hakujiua...akarudi kumiliki bodaboda wa kununuliwa na marafiki imsaidie