shetani aka shetty baby
Member
- Oct 4, 2022
- 90
- 82
Hili tatizo nimedunu nalo kitambo sasa yapata miaka 13, nilipoona yanaota vijinyama kwenye zakari (uume).
Hili tatizo ni serious na kwa kweli kama ni gonjwa la zinaa mimi sijui, niliona tu yanaota yapata miaka ya 2000. Sikuwahi kufanya ngono zembe kwa maana tusiamini sana kondomu. Nina Watoto wengi tu na nilikuwa nikifurahia tendo hadi sasa.
Wiki mbili zilizopita nilishangaa ukubwa ya vinyama vinavyowasha tu kwa muda mfupi na huwa sisikii maumivu yoyote, labda nikikitaka napata maumivu makali kama MTU aliyejeruhiwa tu. kwaiyo nimekuwa nikichukulia kama sehemu ya maumbile yangu.
Hili tatizo ni serious na kwa kweli kama ni gonjwa la zinaa mimi sijui, niliona tu yanaota yapata miaka ya 2000. Sikuwahi kufanya ngono zembe kwa maana tusiamini sana kondomu. Nina Watoto wengi tu na nilikuwa nikifurahia tendo hadi sasa.
Wiki mbili zilizopita nilishangaa ukubwa ya vinyama vinavyowasha tu kwa muda mfupi na huwa sisikii maumivu yoyote, labda nikikitaka napata maumivu makali kama MTU aliyejeruhiwa tu. kwaiyo nimekuwa nikichukulia kama sehemu ya maumbile yangu.