Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 123
Nina mizigo yangu nataka kutuma nyumbani kwa kutumia kontena. Je kuna mbongo/wabongo wowote ambao wana mizigo ya kutuma? Kama wapo, basi naomba tuwasiliane kuona kama tunaweza kubanana kwenye kontena moja na kugawana gharama.
Tusonge mbele!!
Mod, naomba unisaidie kuiweka hii mahala panapohusika.......kama hapa sipo.
Tusonge mbele!!
Mod, naomba unisaidie kuiweka hii mahala panapohusika.......kama hapa sipo.