2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Teh...teh...Kungepatikana watu wa ku-push enzi za Muungwana JK, ingewezekana kabisa lakini leo hii ambapo JPM kila mtu anamuona mwizi kasoro yeye na Daud tu; sio kazi ndogo serikali hii kuwashawishi!
Sent using Jamii Forums mobile app