M2pc
Member
- Jun 14, 2016
- 90
- 58
Habari yenu wanajukwaa. Naleta ombi kwenu kwa yeyote mwenye kuhitaji kijana wa kukaa shambani na kulihudumia mpaka wakati wa mavuno ani PM Niko tiyari. Napenda sana kujifunza shughuli za kilimo biashara (agribusiness) lkn changamoto yangu kubwa ni mtaji hivyo kupitia jukwaa hili naweza kupata wataalamu wakushirikiana nao katika sekta hii lengo na madhumuni nijifunze kwa ajili ya kuna kujitegemea baadae.