Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kila nikitafakari yanayoendelea katika huu ulimwengu yakiwemo ya hapa Bongo, nadiriki kusema:
Binadamu ni wanyama na wanyama ni binadamu
Mnyama kama hana njaa, ni kiumbe mwema kuliko mwanadamu.
Misikitini na makanisani huwa tunakwenda kwa mazoea tu(kwasababu ni utamaduni uliozoeleka ).
Binadamu ni wanyama na wanyama ni binadamu
Mnyama kama hana njaa, ni kiumbe mwema kuliko mwanadamu.
Misikitini na makanisani huwa tunakwenda kwa mazoea tu(kwasababu ni utamaduni uliozoeleka ).