Sera ya CCM kwa ujumla wake ni nzuri wananchi wengi wanaikubali, isipokuwa swala linalokera ni utendaji,utekelezaji mbovu wa sera.
Vyama vingine havijaonyesha sera mbadala ila wanachosema ni kwamba ccm kwanini hawatekelezi vema sera zao? e.g. kwanini shule za kata haziboreshwi?, walimu waongezwa n.k kwa hiyo hawana mbadala ila tukitekeleza vizuri sera zetu ..watakuwa hawana hoja!
Ombi langu kwa Mh. Pinda (waziri mkuu) mtekelezaji mkuu wa asera na kazi za serikali .....
Nafikiri mkuu watendaji wakuu wa sera waanze kuangaliwa hasa kwenye mashirika yanayotoa huduma muhimu kwa wananchi waliotuchagua.., mfano mimi naona wafuatao wameshindwa kutekeleza sera za chama waondolewa na chama kupitia serikali ya chama tawala...
1. Wiiliam Ngeleja - wizara imemshinda umeme haupatikani ahadi zimekuwa nyingi utekelezaji zero, ameshindwa kuweka mkakati dhabiti kuendesha wizara..miaka 5 tunaongelea issue moja na ameshindwa kuja na solution..nafikiri ana problem upstairs...
2. William Mhando - Tanesco imemshinda hatuoni nafuu wala mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika huyu mtu ni dhaifu unprofesion
3. David Mattaka - Ameshindwa kutekeleza sera za chama kuhusu usafirishaji, hatuoni mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika hilo huyu mtu amezeeka amepewa kijana mdogo under 40 anaweza kusaidia kuleta mapinduzi
4. Justin Mwandu - Ameshindwa kuboresha shirika la NIC, jamaa huyu ni mwoga na very slow learner, NIC inaweza vipi kushindwa na Heritage insurance?
5. William Erio - Wa PPF, soon wastaafu watamlaani huyu mtu, kila maazimio ya kuongezwa pension hayapeleki serikalini wala hafanyi juhudi za kusaidia wazee wastaafu..
Kuna haja ya wapenzi na wanachama CCM kuwakamia serikali yetu iwaondoe hawa..na wengine wabovu..kwakuwa ni utekelezaji tu unaolalamikiwa wla si sera sera ziko OK.
Vyama vingine havijaonyesha sera mbadala ila wanachosema ni kwamba ccm kwanini hawatekelezi vema sera zao? e.g. kwanini shule za kata haziboreshwi?, walimu waongezwa n.k kwa hiyo hawana mbadala ila tukitekeleza vizuri sera zetu ..watakuwa hawana hoja!
Ombi langu kwa Mh. Pinda (waziri mkuu) mtekelezaji mkuu wa asera na kazi za serikali .....
Nafikiri mkuu watendaji wakuu wa sera waanze kuangaliwa hasa kwenye mashirika yanayotoa huduma muhimu kwa wananchi waliotuchagua.., mfano mimi naona wafuatao wameshindwa kutekeleza sera za chama waondolewa na chama kupitia serikali ya chama tawala...
1. Wiiliam Ngeleja - wizara imemshinda umeme haupatikani ahadi zimekuwa nyingi utekelezaji zero, ameshindwa kuweka mkakati dhabiti kuendesha wizara..miaka 5 tunaongelea issue moja na ameshindwa kuja na solution..nafikiri ana problem upstairs...
2. William Mhando - Tanesco imemshinda hatuoni nafuu wala mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika huyu mtu ni dhaifu unprofesion
3. David Mattaka - Ameshindwa kutekeleza sera za chama kuhusu usafirishaji, hatuoni mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika hilo huyu mtu amezeeka amepewa kijana mdogo under 40 anaweza kusaidia kuleta mapinduzi
4. Justin Mwandu - Ameshindwa kuboresha shirika la NIC, jamaa huyu ni mwoga na very slow learner, NIC inaweza vipi kushindwa na Heritage insurance?
5. William Erio - Wa PPF, soon wastaafu watamlaani huyu mtu, kila maazimio ya kuongezwa pension hayapeleki serikalini wala hafanyi juhudi za kusaidia wazee wastaafu..
Kuna haja ya wapenzi na wanachama CCM kuwakamia serikali yetu iwaondoe hawa..na wengine wabovu..kwakuwa ni utekelezaji tu unaolalamikiwa wla si sera sera ziko OK.