kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
Wandugu wapendwa!
kwa kiasi fulani kile kilio cha ofisi ya chama cha demokrasia na maendeleo kuwa na ofisi ya mkoa yenye kufikika kwa urahisi (strategic location) na watu wengi (busy street) na yenye uwalau kidogo kwa maana ya space imepatikana. Hii ina maana kuwa ile ofisi iliyokuwa inatumika awali na chadema mkoa (sokoni majengo imepakana na market view barguest house & canna lodge annex) itabakia kuwa ya chadema wilaya dodoma. Point ya kwanza hapa ni kuwa ongezeko la ofisi katika eneo hili inaimarisha pumzi ya chama.
Kazi ya utafutaji wa ofisi imekuwa si rahisi sana kwani ni wenye nyumba wachache wanaokubali kuwa ofisi zao zikodishwe na vyama vya siasa na hasa vya upinzani. tunawapongeza katibu wa mkoa Bw. Faustine Masawe 0659 086673 (mwenye light green shirt) na katibu wa vijana mkoa bwana Iddi Kizota (mwenye dark clothes) 0787 303015 au 0715 303015 kwa jitihada zao za dhati kukijenga chama kwenye mkoa ambao umekuwa mgumu kama huu na hivyo hadi leo hii chadema dodoma inajivunia.
ofisi hii iko barabara ya tisa ( 9 ) nyumba ya tatu kutoka barabara ya lami. inatazamana kabisa na uwanja wa barafu pahala ambapo tipa huwa zinapaki na mikutano ya hadhara huwa inafanyika. ni katika barabara hii ndipo inapopatikana kidia vision hotel.... inaonekana kwa mbaali katika picha iliyo attached. kwa ufupi ni mahala panapofikika kirahisi sana.
kwa muda huu ambapo chadema dodoma inaendelea kutafuta ofisi kubwa zaidi yenye hadhi ya mji wa dodoma ambao huwakutanisha wabunge woote na mara nyingine viongozi wote wa chama hiki kutoka kila pembe ya nchi yetu, chama mkoani dodoma kina jukumu la kuikarabati na kuiwekea samani ofisi hii ili ifanane na makusudio yake na kuweza kutekeleza majukumu yake. ofisi hii hapo awali ilikuwa ni salon ya kunyoa nywele.
kwa sasa hivi changamoto ni kama zifuatazo
1. kama inavyoonekana kuna haja ya kumwaga kifusi mbele ya jengo.
2. kupata samani zinazoendana na chama kwa ajili ya ofisi.. at least kiti ya mwenyekiti, meza mbili za ofisi, viti kadhaa vya wajumbe,
3. hapo nje limetolewa wazo kuwa pazungushiwe mbao ili kuwa na baraza kwa ajili ya kusubiria au wageni wengine. eneo hilo linatakiwa kuwa na tea table na viti kadhaa / bench kwa ajili ya wageni wengine wa chama.
mwenye maoni au support please contact katibu wa mkoa Bw. Faustine Masawe 0659 086673 na 0766 297418 au katibu wa vijana mkoa bwana Iddi Kizota 0787 303015 au 0715 303015. makamanda hawa wamekaa katika kochi wakitafakari mkakati wa kuifanya ofisi iwe kwenye chati....(however, kochi hilo ni mali ya mmiliki aliyepita wa ofisi)
kwa yeyote aliye tayari kuchangia samani na marekebisho ofisi ya mkoa dodoma kwa kutumia mpesa tafadhali tumia
0766 297418 Bwana Faustine Massawe, katibu wa mkoa. kuhakikisha hili tafadhali cheki na Bw. Komu, mkurugenzi wa fedha wa chama, 0713 615603 Dar es salaam.
karibuni tujenge chama! changamoto hii imekuwa ikitolewa sana hapa JF. Mh. Regia upo?
welcome ALL!
kwa kiasi fulani kile kilio cha ofisi ya chama cha demokrasia na maendeleo kuwa na ofisi ya mkoa yenye kufikika kwa urahisi (strategic location) na watu wengi (busy street) na yenye uwalau kidogo kwa maana ya space imepatikana. Hii ina maana kuwa ile ofisi iliyokuwa inatumika awali na chadema mkoa (sokoni majengo imepakana na market view barguest house & canna lodge annex) itabakia kuwa ya chadema wilaya dodoma. Point ya kwanza hapa ni kuwa ongezeko la ofisi katika eneo hili inaimarisha pumzi ya chama.
Kazi ya utafutaji wa ofisi imekuwa si rahisi sana kwani ni wenye nyumba wachache wanaokubali kuwa ofisi zao zikodishwe na vyama vya siasa na hasa vya upinzani. tunawapongeza katibu wa mkoa Bw. Faustine Masawe 0659 086673 (mwenye light green shirt) na katibu wa vijana mkoa bwana Iddi Kizota (mwenye dark clothes) 0787 303015 au 0715 303015 kwa jitihada zao za dhati kukijenga chama kwenye mkoa ambao umekuwa mgumu kama huu na hivyo hadi leo hii chadema dodoma inajivunia.
ofisi hii iko barabara ya tisa ( 9 ) nyumba ya tatu kutoka barabara ya lami. inatazamana kabisa na uwanja wa barafu pahala ambapo tipa huwa zinapaki na mikutano ya hadhara huwa inafanyika. ni katika barabara hii ndipo inapopatikana kidia vision hotel.... inaonekana kwa mbaali katika picha iliyo attached. kwa ufupi ni mahala panapofikika kirahisi sana.
kwa muda huu ambapo chadema dodoma inaendelea kutafuta ofisi kubwa zaidi yenye hadhi ya mji wa dodoma ambao huwakutanisha wabunge woote na mara nyingine viongozi wote wa chama hiki kutoka kila pembe ya nchi yetu, chama mkoani dodoma kina jukumu la kuikarabati na kuiwekea samani ofisi hii ili ifanane na makusudio yake na kuweza kutekeleza majukumu yake. ofisi hii hapo awali ilikuwa ni salon ya kunyoa nywele.
kwa sasa hivi changamoto ni kama zifuatazo
1. kama inavyoonekana kuna haja ya kumwaga kifusi mbele ya jengo.
2. kupata samani zinazoendana na chama kwa ajili ya ofisi.. at least kiti ya mwenyekiti, meza mbili za ofisi, viti kadhaa vya wajumbe,
3. hapo nje limetolewa wazo kuwa pazungushiwe mbao ili kuwa na baraza kwa ajili ya kusubiria au wageni wengine. eneo hilo linatakiwa kuwa na tea table na viti kadhaa / bench kwa ajili ya wageni wengine wa chama.
mwenye maoni au support please contact katibu wa mkoa Bw. Faustine Masawe 0659 086673 na 0766 297418 au katibu wa vijana mkoa bwana Iddi Kizota 0787 303015 au 0715 303015. makamanda hawa wamekaa katika kochi wakitafakari mkakati wa kuifanya ofisi iwe kwenye chati....(however, kochi hilo ni mali ya mmiliki aliyepita wa ofisi)
kwa yeyote aliye tayari kuchangia samani na marekebisho ofisi ya mkoa dodoma kwa kutumia mpesa tafadhali tumia
0766 297418 Bwana Faustine Massawe, katibu wa mkoa. kuhakikisha hili tafadhali cheki na Bw. Komu, mkurugenzi wa fedha wa chama, 0713 615603 Dar es salaam.
karibuni tujenge chama! changamoto hii imekuwa ikitolewa sana hapa JF. Mh. Regia upo?
welcome ALL!