Kwa wana CCM wacha Mungu: Je, mnaamini mmeshinda kihalali na uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Kila mmoja wetu atasimama mbele za kiti cha hukumu

Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.

CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?

Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?

Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Viti maalum yumo mpaka mwenyekiti wa akina mama chadema
 
Kwahiyo hizi ndii sababu za kuwafanye muibe kura?

Vipi na wabunge?

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu hakuna aliyemuibia Kura mwenzake.Chadema hawakujianga kwa uchaguzi.Hata taasis moja ya Kenya ilishatabili kuwa CCM wangeshinda kwa asili Mia 79.6 Sasa hapo ukiweka plus or minus 5 utaona wazi kuwa utabili wao ulikuwa sahihi.
 
Endelea kuamini Mungu kwenye mambo ya siasa uone patashika yake kibinadamu..
 
Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.

CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?

Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?

Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Kazi ya Magufuli ya miaka mitano ndiyo imesababisha CCM kushinda kama ulivyoona,kujipa stress na mawazo mengi eti wameiba wameiba ni kujipotezea muda tu.

Walichokua wanataka wananchi ndicho walichoona kwa miaka mitano,sasa unadhani kura zisinge ongezeka?

Chadema pia ni kundi la wahuni wachache wenye vinasaba vya kikaskazini wapenda pesa waliotaka kuingia Ikulu kuipiga nchi pesa. Isipokua kwa mapenzi ya vyama ndiyo maana jamii haiwezi kuona hili.

Ukiitaja CCM unaiona nchi nzima,ukiitaja chadema unaionaa Arusha na Kilimanjaro...unategemea kuna nini hapo?

Tumieni akili,na kwa mambo haya ya siasa,binafsi nimeona kuna kitu hapa Tanzania,kuna tatizo kwenye vichwa vya wengi, uwezo wa kufikiri mambo kwa kina ni mdogo sana sana sana kupita kiasi
 
Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.

CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?

Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?

Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Mimi naamini tumeshinda kihalali na kwa dhati kabisa uchanguzi ulikuwa huru na haki.

Japokuwa kulikuwa na changamoto chache.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom