Wabunge wa ccm ni watu gani na serikali yao wamethibisha ubashite wao na namna ambavyo ni wamekosa weledi wa kisiasa na kwamba kwao maslahi ya nchi hii si kitu muhimu hata kidogo!!! Hili ni funzo kwa wapiga kura , kwa walilolifanya wabunge wa ccm kutujima fursa ya kuwakilishwa na watu makini EARL ni ishara usaliti kwa taifa na ukosefu wa uzalendo kiwango cha juu!!! Ongera kwa wabunge wa CCM waliothubutu kuwapigia kura akina prof Safari na Salum Mwl!!! Kwa watanzania wengi hawa jamaa walifaa zaidi japo na wanawake walikuwa na sifa si haba!!!! Lakini nina amini hili lilifanyika makusudi kukomoa upinzani!! I,m not proud to a Tanzanian( Kuna fahari gani kuwa mtanzania , kwenye nchi ambayo unafiki, ubinafsi, usaliti ni sifa ya watawala?)