Kwa waliozaliwa January 15 tu!

Offline User

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
3,828
2,383
Hey ladies;
Natoa 'offer' ya urafiki utakaopelekea uchumba kwa msichana aliezaliwa Jan 15, mwenye miaka 20-30. Lengo ni kuwa na rafiki ninaye-share naye 'birthdate'. Nimezaliwa tarehe hiyo pia. Mengine tutaelezana kwa PM.
 
una matatizo makubwa ww,na yatakukuta tu ,yani kisa mzaliwe siku moja???WW UNASHIDA WW
 
Mh mbona mimi nimezaliwa tareh 14.5 Jan itakuwaje?embu approxmate basi ujue sina rafiki!!loh
 
Back
Top Bottom