Kwa waliowahi kukata rufaa NECTA, naomba uzoefu wenu

Tyrex

JF-Expert Member
Oct 15, 2012
2,280
4,727
Habari zenu ndugu, let's me stick at the point me Ni mhitimu wa kidacho cha 6 mwaka huu nimepata alama za DEE sasa hapo nafikiria kukata rufaa katka somo1 ambalo nahakika nalo kabsa naombeni ushauri kwa wale waliowah kukata rufaa vp effect zake znakuaje kama Ni kufaulu Au kushushiwa zaidi marks. Ahsanteni
 
Unapoteza Hela aiseee munaweza Ku appeal watu 1,000 watakaopata ukweli ni 20 tu toka lini Baba wa Africa akakubali Kushindwa na Mtoto
 
Back
Top Bottom