mambo vipi wana JF, kwema? Jina langu naitwa paulus baragi, natafuta marafiki ambao walisoma na mzee wangu aitwaye Nyakuwa Nyakitita Baragi nchini Urusi miaka ya 83 hadi 89 , alikua anasoma Mji wa Baku,azerbaijan ambayo kwa sasa imejitenga na urusi, nahitaj kukutana na rafiki yake ama mtu yeyote aliesoma nae mji moja huo wa Baku,azerbaijan kwa miaka iyo ya 83 hadi 89, alikua akisoma Azezbekova . Shukrani sana.