Dah mmenikumbusha mbali sana, dogo Fubu upo? Me nimemaliza pale 2004 nasikia mama mingoi alikufa na kuna dogo fulani hv alikuwa na kashfa ya kuwala*w*t watoto wa middle school pale tosa sijui ishu yake iliendaje mahakamani! Bt I we'll plsed with that thread du ni kitambo sana