alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Nakumbuka kabla mkangwa hajaondoka aliwekwa kitimoto,ilikuja team ya watu wa elimu toka mkoani na wengine walitoka wizarani,wakimuwakilisha waziri wa elimu.
Ishu ilikuwa barua ambayo aliandikiwa waziri toka kwa wanafunzi ila ilikuwa addressed kwa jina lake hvyo ilitua mezani kwake..alikuwa mdogo MK..,Kesho yk alipanda assembly akasema kauli moja..'USIOMBE KUKUTANA NA SIMBA ALIYEJERUHIWA' .,then akashuka kuelekea ofisini kwake tukasikia mlango ..Mbaaaaa..akapanda Ugurumoo..
Namkumbuka MNOTI.,RIP kamanda wa ukweli.,alikuwa kichwa PCM kutoka kambi ya wasela,jamaa alikufa kwa risasi,kifo chake ilikuwa kama muv,maana roomates walimtengenezea mchoro wa ukweli,.
Nakumbuka jinsi viongozi wa social walivyokuwa wanapatikana,kigezo utoz yaan pamba,kuhudhuria disco,fuba,anahudhuria kanteen,handsome...
Nakumbuka mabifu ya chuaaaaaaa na o levo,cjawah kuona popote.4m5 hakuwa na haki ni kama 4m1.
Nakumbuka siku watoto wa dr wa ipamba waliokuwa wanasoma mkwawa walivyovuliwa nguo,..halafu usia wa mkangwa kesi ilipomfikia akasema 'USIANZE KURUSHA MAWE WKT WW UPO KWNY NYUMBA YA KIOO'
Mama mingoiiiii.,Aboy mzee wa chemistry anamkumbuka sana huyu,kila centre aliyokuwa anafundisha ilikuwa lazma amtaje..pc n love Ambrinyo,cjui upo wap...
Natamani niendelee...
Ishu ilikuwa barua ambayo aliandikiwa waziri toka kwa wanafunzi ila ilikuwa addressed kwa jina lake hvyo ilitua mezani kwake..alikuwa mdogo MK..,Kesho yk alipanda assembly akasema kauli moja..'USIOMBE KUKUTANA NA SIMBA ALIYEJERUHIWA' .,then akashuka kuelekea ofisini kwake tukasikia mlango ..Mbaaaaa..akapanda Ugurumoo..
Namkumbuka MNOTI.,RIP kamanda wa ukweli.,alikuwa kichwa PCM kutoka kambi ya wasela,jamaa alikufa kwa risasi,kifo chake ilikuwa kama muv,maana roomates walimtengenezea mchoro wa ukweli,.
Nakumbuka jinsi viongozi wa social walivyokuwa wanapatikana,kigezo utoz yaan pamba,kuhudhuria disco,fuba,anahudhuria kanteen,handsome...
Nakumbuka mabifu ya chuaaaaaaa na o levo,cjawah kuona popote.4m5 hakuwa na haki ni kama 4m1.
Nakumbuka siku watoto wa dr wa ipamba waliokuwa wanasoma mkwawa walivyovuliwa nguo,..halafu usia wa mkangwa kesi ilipomfikia akasema 'USIANZE KURUSHA MAWE WKT WW UPO KWNY NYUMBA YA KIOO'
Mama mingoiiiii.,Aboy mzee wa chemistry anamkumbuka sana huyu,kila centre aliyokuwa anafundisha ilikuwa lazma amtaje..pc n love Ambrinyo,cjui upo wap...
Natamani niendelee...