Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Jamani, leo nimeamua kuikumbuka shule yangu ya Msingi niliyoipenda sana... Gilman Rutihinda ama kwa waliosoma miaka ya nyuma kidogo iliiitwa Darajani... naomba tukumbushane enzi hizo,. kipindi hicho hakuna international school... tulikuwa tunakimbiza!!! walimu kina KImangano(huyu nasikia alikuja hamia kumbukumbu) Sadalla, na wengine wengi tu. kama upo hapa jamvini karibu.
nakaribisha pia na wale waliopenda ushindani na shule yetu kama Msimbazi mseto, Chang'ombe na hata Kumbukumbu wenyewe karibuni sana
nakaribisha pia na wale waliopenda ushindani na shule yetu kama Msimbazi mseto, Chang'ombe na hata Kumbukumbu wenyewe karibuni sana