hollo Deus
Member
- Dec 10, 2018
- 22
- 6
Habari,wana JF?
Nilikuwa nauliza kama kuna mtu aliwahi ku-apply kazi Red Cross, kama amepata information yoyote ya kuitwa, mie ni mmoja wapo nimeona wamenitumia email, ila sijaielewa
Kama kuna mtu amepata email kwao naomba anifafanulie . Asante.
Nilikuwa nauliza kama kuna mtu aliwahi ku-apply kazi Red Cross, kama amepata information yoyote ya kuitwa, mie ni mmoja wapo nimeona wamenitumia email, ila sijaielewa
Kama kuna mtu amepata email kwao naomba anifafanulie . Asante.