Kwa waliokuwa macho usiku huu tuma salaam kwa watu tank(5)

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,197
2,024
Oi kwa wale popo wazee wa kukesha tuna salaam kwa uwependao au hates. Mwisho watu watano(5).

-Natuma salaam kwa Bibi yangu mpendwa nimekumisi sana bibi nikija nakuletea ugoro
-Natuma salaam kwa ma Ex girls wangu wote nashukuru kwa mapenzi yenu
-Natuma salaam kwa mh Rais Mkapa
-Natuma salaam kwa waziri Mizengo Pinda
-Natuma salaam kwa Mama yangu kipenzi.
Karibuni~
 
Natuma salamu kwa 1.wavuvi na wakokozi wote kule lake victoria

2.salamu kwa mabasi yote yaendayo mikoani yakianzia nyegez au buzuruga mza

3.salamu kwa mitumbwi,vivuko,meli zote zikianzia kamanga,kirumba au usagara

4.salamu kwa wote waishio milimani mwanza
5. Salamu kwa daladala zootee jijini mwanza
 
Ebu ngoja nikae hapa nisikilize kipindi cha tuma salam....
tapatalk_1486965153497.jpg
 
Salaam kwenu Akacia...tsup tsup, hope yoh havn lot of Fun, RIGHT.?? sleep tight Real Akacia hommies a.k.a Gold diggers
 
Natuma salamu kwa 1.wavuvi na wakokozi wote kule lake victoria

2.salamu kwa mabasi yote yaendayo mikoani yakianzia nyegez au buzuruga mza

3.salamu kwa mitumbwi,vivuko,meli zote zikianzia kamanga,kirumba au usagara

4.salamu kwa wote waishio milimani mwanza
5. Salamu kwa daladala zootee jijini mwanza
 
Natuma salamu kwa 1.wavuvi na wakokozi wote kule lake victoria

2.salamu kwa mabasi yote yaendayo mikoani yakianzia nyegez au buzuruga mza

3.salamu kwa mitumbwi,vivuko,meli zote zikianzia kamanga,kirumba au usagara

4.salamu kwa wote waishio milimani mwanza
5. Salamu kwa daladala zootee jijini mwanza
shikamoo
 
Back
Top Bottom