Ina maana umeleta hii taarifa kwa walioko Dar peke yao? Watanzania mbona hatuna upendo? Wa mikoan wao hawapaswi kujua kinaendelea nini? Take your time kama huwezi kuueleza uma kwa kina siyo kuleta taarifa zisizo na kichwa wala miguu hapa.Inaonekana mko mikoani ndio maana hamjanielewa, na kama mko Dar basi mmeshakubali matokeo.
Invisible
Robot
HIVI:
Kuna vijana wamejisajili JF (nadhani ni wachanga sana) na wanatumia lugha za SMS kwenye kuandika. Tunaomba mkiona posts hizo mbonyeze REPORT button ili tuweze ku-edit iweze kusomeka na kueleweka.
MFANO:
Cc wa2 wa TZ 2napenda kucngzia shda 2 wkt ha2ji2mi na ndo mn TANESCO wana2katia umm kabla ha2jachaj cm ze2.
Sasa lugha hiyo hapo juu si ya ki-JF. Tuwasaidie vijana wetu waandike vema, wabaki kwenye mstari sahihi
Ninaomba msaada wa kujulishwa wale waliokutana na waziri leo wameambiwa nini?mkopo upo au hamna,kwa nini aliwaita?tafadhali kama kuna mtu anataarifa
Stan b na vijana wengine katika hii nyuzi, tazameni mlivyoandika na tazameni hili angalizo kutoka kwa Invisible: