Babia Ndonga Shokoloo
Member
- Mar 6, 2017
- 33
- 135
Habari wapendwa. Ninauza king'amuzi cha star times cha chuma cha Antenna kwa bei ya Tsh 45,000/=. Sababu ya kuuza ni kuwa ninahama Dar naelekea Kilosa huko antenna hazishiki. Kina channeli za bure nyingi tu kama ITV, Star Tv, Tbc1, channel ten, EATV, Tumaini TV, WRM, n.k