Huyo ni chizi tu.Utakaa kumuwazia kumbe bure tu.Chizi mapanga shaa wa Frelimo.Anauza mapanga kwa kiburi utadhani anauza uzima wa milele.Gunioko gunioo huyo!!Huyu jamaa toka niko shule ya msingi namuonaga hivyo hivyo na mapanga yake, halafu nasikia ukitaka kununua hauzi.
Huwa anatembea huku anachana mistari.
Stori zake wanasema jamaa ni wa "Kaunda Suit" sasa sijui ni kweli au za vijiweniView attachment 859948
Ukimuona unamuogopa akitoa sauti sasa hutaamini kama ni huyo anayetembea kwa madaha
Ni makosa kisheria mkuu kutupia picha ya mtu mtandaoni bila ruksa yake. Pia siitwi "Chaliifransico" naitwa "chaliifrancisco"@Chaliifransico afahamu au asifahamu ni juu yake
Kwa mnavyowekaga picha wanawake humu ambao hatuwajui huwa wanajua kuwa wanajadiliwa?
Sio mtoto huyo, huyo ni "Celebrity" wa Iringa.
we hiyo profile pic uliyoweka apo umepata idhini ya kuitumia kutoka kwa aliebuni hiyo cartoon je sio kosa kisheria??Ni makosa kisheria mkuu kutupia picha ya mtu mtandaoni bila ruksa yake. Pia siitwi "Chaliifransico" naitwa "chaliifrancisco"
Hiyo sio cartoon jombii. Unajua cartoon kweli wewe?we hiyo profile pic uliyoweka apo umepata idhini ya kuitumia kutoka kwa aliebuni hiyo cartoon je sio kosa kisheria??
eeeh nidanganye kaka hiyo ni ninHiyo sio cartoon jombii. Unajua cartoon kweli wewe?
halafu anaimbaimba sijui anachana vileHuyo ni chizi tu.Utakaa kumuwazia kumbe bure tu.Chizi mapanga shaa wa Frelimo.Anauza mapanga kwa kiburi utadhani anauza uzima wa milele.Gunioko gunioo huyo!!