Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
Ktk Kitabu Cha Yakobo1:5-12, Inasema Mtu Akijaribiwa Na Asiseme Anajaribiwa Na Mungu, Maana Mungu Hajaribiwi Kwa Maovu/mabaya/matatizo.
Maana Yake Ni Kwamba Mungu Hawezi Kukujaribu Kufanya Dhambi Au Umkosee Yeye, Hiyo Ni Kazi Ya Shetani.
Kumbuka Pale Unaweka Agano, Yaan Unapiga Muhuri Ktk Roho Kwamba Hayo Yote Unayapokea.
Na Ndio Maana Ni Muhmu Sana Kujua Unatamka Kitu Gani, Maana Mtu Atakula Matunda Ya Kinywa Chake.
kajifunze upya tofauti ya TEXTUAL na CONTEXTUAL analysis!
Hizi habari zenu za kuchomoa kamstari kamoja na kukapa maana kwa utashi wenu,kila mtu humu angekuwa Mchungaji/Mhubiri