Kwa waliofika au wanaoijua Lusaka, Zambia

Jamaa ni wabinafsi sana.
Police wao wananidhamu zana(hawaongeki kirahisi)
Ni wachoyo sana.
Maofisa usalama wao pia ni shida tupu.
Anaweza kukufatilia siku nziima bila kumshitukia maana atajifanya chinga.
Ni marufuku kunywa pombe hadhalani au kuuza pale stand.
Pia moja ya Barabara kubwa za jiji zimepitia stand.
Wanajua sana kupika hasa chai ya maziwa na mikate.
Maisha ni ghali sana zaidi ya hapa j'burg.
Chupa ndogo ya maji ni karibu 1,000 tshs.
Ila ni waaminifu zaidi ya wa bongo.
Hawana ukarimu kwa wageni.
Make sure unapopiga misele mitaani uwe na passport yako na ile karatasi ya njano unayoijaza uhamiaji.
Mabasi yao ni very luxurious hasa yale yaendayo nje (S. Africa Zimbabwe, Congo, Botswana, Kigali, etc)
Nadhani hayo machache yatakusaidia
 
....Maisha kama bongo

db_Lusaka-great-east-road-plus-manda-hill-shopping-centre012.jpg
Bila shaka hii ni barabara kubwa ya kutokea mjini kuelekea mangozi-kabwe.
 
Unashauri nifikie wapi? Usalama?

Hakuna mikasa ambayo itazidi Dar (sina hakika we waishi wapi!). Sikumbuki sana maeneo huko. Umri sheikh.

Kwa ushauri, mji wowote mpya usikae uswekeni unless uu mdadisi na jasiri. Km budget inaruhusu, kaa hoteli za ghorofa katikati ya jiji. Bei sawa au chini kdg ya kwetu.

Km ilivyo Dar, wenyeji wa Lusaka ni wakarimu na wanaelekeza vizuri sana.
 
Jamaa ni wabinafsi sana.
Police wao wananidhamu zana(hawaongeki kirahisi)
Ni wachoyo kunyimwa.
Maofisa usalama wao pia ni shida tupu.
Anaweza kukufatilia siku nziima bila kumshitukia maana atajifanya chinga.
Ni marufuku kunywa pombe hadhalani au kuuza pale stand.
Pia moja ya Barabara kubwa za jiji zimepitia stand.
Wanajua sana kupika hasa chai ya maziwa na mikate.
Maisha ni ghali sana zaidi ya hapa j'burg.
Chupa ndogo ya maji ni karibu 1,000 tshs.
Ila ni waaminifu zaidi ya wa bongo.
Hawana ukarimu kwa wageni.
Make sure unapopiga misele mitaani uwe na passport yako na ile karatasi ya njano unayoijaza uhamiaji.
Mabasi yao ni very luxurious hasa yale yaendayo nje (S. Africa Zimbabwe, Congo, Botswana, Kigali, etc)
Nadhani hayo machache yatakusaidia

Sijaelewa 'wachoyo kunyimwa'???
 
Jamaa ni wabinafsi sana.
Police wao wananidhamu zana(hawaongeki kirahisi)
Ni wachoyo kunyimwa.
Maofisa usalama wao pia ni shida tupu.
Anaweza kukufatilia siku nziima bila kumshitukia maana atajifanya chinga.
Ni marufuku kunywa pombe hadhalani au kuuza pale stand.
Pia moja ya Barabara kubwa za jiji zimepitia stand.
Wanajua sana kupika hasa chai ya maziwa na mikate.
Maisha ni ghali sana zaidi ya hapa j'burg.
Chupa ndogo ya maji ni karibu 1,000 tshs.
Ila ni waaminifu zaidi ya wa bongo.
Hawana ukarimu kwa wageni.
Make sure unapopiga misele mitaani uwe na passport yako na ile karatasi ya njano unayoijaza uhamiaji.
Mabasi yao ni very luxurious hasa yale yaendayo nje (S. Africa Zimbabwe, Congo, Botswana, Kigali, etc)
Nadhani hayo machache yatakusaidia

Mkuu basi mi nilipokelewa tofauti.

Mabasi... Juldani ni shida
 
Inawezekana wewe ulikua na mwenyeji mkuu.
Kiukweli jamaa kwenye usafiri wa mabasi wako vzr sana.
Ila hawana stand wala magorofa.

Mmmhh... mbona stendi ipo mjini kati km kisutu enzi hiyo? Ukiwa stendi ni jirani na Zanaco hq.

Sikua na mwenyeji. Ila siku moja tu nkawapata kibao!

Kuhusu bei za vitu nilichanganya kdg. Kweli vyao gharama zaidi maana kwa watumiao mabasi kati ya Tunduma Lusaka, soda na biskuti ni vya Kwanza na Azam za bongo.
 
Sawa mkuu
Yaani maisha Lusaka ni ghali kuliko Jburg? Why?
Nadhani kwasababu ni kama njia panda.
Becouse magari yote yanayotoka nje na yanatumia Lusaka ni lazima yalale hapo au japo yakae kwa masaa japo 6.
Kwa mfano.
Ukitoka Dar kwa bus linalokwenda Harare utafika tunduma jioni. Then asbh saa 3 bus litakuwa, kisha mtagonga pass na kuondoka saa7 mchana.
Mtaingia Lusaka next day saa 11.00 ya Zambia. Kisha mtashinda hapo na kuondoka tena Mchana saa 7 to Harare.
Ni hivyo hivyo kwa mabus yote.
Maybe hii ni sababu but sana uhakika.
 
Jamaa ni wabinafsi sana.
Police wao wananidhamu zana(hawaongeki kirahisi)
Ni wachoyo sana.
Maofisa usalama wao pia ni shida tupu.
Anaweza kukufatilia siku nziima bila kumshitukia maana atajifanya chinga.
Ni marufuku kunywa pombe hadhalani au kuuza pale stand.
Pia moja ya Barabara kubwa za jiji zimepitia stand.
Wanajua sana kupika hasa chai ya maziwa na mikate.
Maisha ni ghali sana zaidi ya hapa j'burg.
Chupa ndogo ya maji ni karibu 1,000 tshs.
Ila ni waaminifu zaidi ya wa bongo.
Hawana ukarimu kwa wageni.
Make sure unapopiga misele mitaani uwe na passport yako na ile karatasi ya njano unayoijaza uhamiaji.
Mabasi yao ni very luxurious hasa yale yaendayo nje (S. Africa Zimbabwe, Congo, Botswana, Kigali, etc)
Nadhani hayo machache yatakusaidia

Sina uhakika na nidhamu ya police wa mijini huko zambia kwa maana ya kutopokea hongo.lkn wale wa highway km kutoka tz kuingia zambia kuna mageti na wanachukua hongo kishenzi.
 
Mmmhh... mbona stendi ipo mjini kati km kisutu enzi hiyo? Ukiwa stendi ni jirani na Zanaco hq.

Yes stend yao ipo ktkt kama kisutu. Na hiyo Zanaco ,(TANESCO) yao ndio jengo lefu kupita yote pale town, sijui kwa sasa.
But pia Barabara yao moja Kubwa imepita ktkt ya stend.
But ni jiji ambalo lilitakiwa liwe zaidi ya Dar kutokana na muingiliano wa watu.
 
Sina uhakika na nidhamu ya police wa mijini huko zambia kwa maana ya kutopokea hongo.lkn wale wa highway km kutoka tz kuingia zambia kuna mageti na wanachukua hongo kishenzi.

Ila uombaji wao ni kama wanalazimisha utoe japo kiungwana flani. Si kama wa jirani zetu kaskazini hapo.
 
Yes stend yao ipo ktk kama kisutu. Na hiyo Zana,(TANESCO) yao ndio jengo lefu kupita yote pale town, sijui kwa sasa.
But pia Barabara yao moja Kubwa imepita ktkt ya stend.
But ni jiji ambalo lilitakiwa liwe zaidi ya Dar kutokana na muingiliano wa watu.

Kumradhi. Zanaco nadhani ni benki ya makabwela. Tena mmiliki ni hawa hawa RABO Bank wa NMB yetu. Afrika shida zetu hizo hizo
 
Sina uhakika na nidhamu ya police wa mijini huko zambia kwa maana ya kutopokea hongo.lkn wale wa highway km kutoka tz kuingia zambia kuna mageti na wanachukua hongo kishenzi.
Ni kweli mkuu, ndio maana mie nikaongelea wa Lusaka.
Nilishakamatwa mara 2 hapo jamaa hawakutaka somo, hasa baada ya kujua mm mbongo.
1.Nilikua napiga mswaki stend.
2.Nilikua natoka S.Africa kununua gari, kwa bahati mbaya taa za break zikaungua, jamaa tulienda kumalizana kituoni tena kwa kumleta fundi kuendekeza.
 
Mmmhh... mbona stendi ipo mjini kati km kisutu enzi hiyo? Ukiwa stendi ni jirani na Zanaco hq.

Sikua na mwenyeji. Ila siku moja tu nkawapata kibao!

Kuhusu bei za vitu nilichanganya kdg. Kweli vyao gharama zaidi maana kwa watumiao mabasi kati ya Tunduma Lusaka, soda na biskuti ni vya Kwanza na Azam za bongo.

Uliwapata akina nani?
Sehemu gani?
 
Back
Top Bottom