JE, NI MTU MWENYE ELIMU GANI ANAWEZA KUSOMA ACCA?
ACCA ina ngazi kuu mbili:
1: Foundations in Accountancy (FIA)
2: ACCA Qualifications
HAPA NITAONGELEA TU FOUNDATIONS IN ACCOUNTANCY PEKE YAKE
Foundations in Accountancy (FIA)
Ngazi hii haina vigezo vyovyote vya Elimu ili mtu aanze kusoma. Hii ni kwa ajili ya mtu ambaye hana ujuzi wowote wa uhasibu au hana Elimu yoyote rasmi, ila anataka kuwa Muhasibu.. Hivyo, hapa ni sawa na mtu anayetaka kuanza Darasa la Kwanza la Uhasibu.
Unaanza na utangulizi kabisa wa Uhasibu.. Kujiunga ni MTU yeyote Yule ili mradi tu aweza Kujua Kiingereza akaelewa maana ya maneno yalioandikwa na Kufanya baadhi ya maswali ya Hesabu.
ACCA wana Online Platform ya bure kabisa kwa mtu anayehisi Kiingereza chake na Hesabu havipandi.. Anaweza kujifunza hapo kwa bidii huku akiendelea na shule yake ya FIA.
Hii ina maana gani?
Hii ina maana kwamba hata kama mtu kaishia Darasa la saba, ila akataka kujiendeleza Kielimu katika fani ya Uhasibu, anapata mahali pa kuanzia na kuendelea mpaka kufikia PhD akiamua.
Kwa hiyo kama wewe umeishia Darasa la saba, umefeli Kidato cha pili, umefeli Kidato cha nne, umefeli Kidato cha sita, etc. usikate tamaa ukahisi ndo mwisho wa elimu yako. Bado kuna njia ya kukufanya uendelee na shule yako na hatimaye ukawa Mhasibu anayetambulika Kimataifa (Ulimwenguni Kote).
Ili Kusajiriwa na Bodi hii kwa ngazi hii ya Awali ya Uhasibu (FIA), Mtahiniwa angalau anahitajika awe na Identity Card yoyote kama vile Leseni ya Udereva, Kitambulisho cha Mpiga Kura, Kitambulisho cha Taifa, Hati/Pasipoti ya Kusafiria, n.k
Kutegemeana na elimu yako hiyo, utapata mahali sahihi pa kuanzia kusoma Kozi hizi za Kimataifa na Kupata Vyeti tofauti tofauti na katika madaraja tofauti tofauti ambavyo vitakupelekea mpaka kupata ACCA Qualifications.
Pia kuna ushirikiano ambao Bodi ya ACCA wanao na Vyuo Vikuu vya Kimataifa vyenye sifa duniani kama vile Oxford Brookes University ambao wanatoa BSc (Hons) Degree in Applied Accounting kwa wanafunzi wanaosoma ACCA waliomaliza mitihani kadhaa na kufanya Research and Analysis Project kwa muda wa miezi sita.
Pia ACCA wana ushirikiano na Chuo Kikuu maarufu Duniani cha University of London ambacho ni kati ya Vyuo 10 bora nchini Uingereza. Chuo hiki kinatoa MSc in Professional Accountancy kwa wanafunzi wanaosoma au waliomaliza mitihani ya ACCA ambapo wanatakiwa kufanya idadi kadhaa ya Mitihani na Kufanya Research Project ya Chuo hicho na Kupata Masters Degree yako kutoka Chuo hiki cha Kimataifa.
JE, MITIHANI GANI UNAFANYA YA FOUNDATIONS IN ACCOUNTANCY?
Kwanza kabisa Level hii ya Mitihani wanafanya wale walioishia Darasa la Saba, Kidato cha Pili au Cha Nne au aliyetoroka shule bila kumaliza elimu yoyote lakini anahitaji kujiendeleza kwenye Uhasibu na ana uwezo wa Kuelewa Kiingereza na Kufanya hesabu. Makundi haya yanaanzia mitihani tofauti tofauti kutegemeana na Uwezo wao wa Kitaaluma.
NGAZI ZA FOUNDATION IN ACCOUNTANCY NA MASOMO HUSIKA
MA1 Management Information
Certificate hii ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 2, yaani Regulated Qualifications Framework Level 2 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 5), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Technician Certificate.
MA2 Managing Costs and Finance
Certificate hii ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 3, yaani Regulated Qualifications Framework Level 3 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 6), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Ordinary Diploma. Kwa NBAA ni sawa na Accounting Technician Level I (ATEC I)
FMA Management Accounting
FFA Financial Accounting
Diploma hii ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 4, yaani Regulated Qualifications Framework Level 4 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 7), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Higher Diploma (Diploma ya Miaka miwili), Kwa NBAA ni sawa na Accounting Technician Level II (ATEC II)
NB: Mitihani yote ya Foundation in Accountancy (FIA) ni Computer Based Exams na inafanyika muda wowote ule unaohisi wewe uko fit kufanya mtihani. Hakuna limitation zozote. Mara tu umalizapo kufanya mtihani wako, majibu yako unapewa hapo hapo
FTX - Foundations in Taxation
FFM - Foundations in Financial Management
FAU - Foundations in Audit
Certificate hii siyo ya Lazima. Mtahiniwa anaweza kuamua kuendelea moja kwa moja kwenye ACCA Qualifications mara tu baada ya kumaliza mitihani yake ya ACCA Diploma in Accounting and Business (RQF Level 4). Anayefanya hii mitihani ni Yule mtu ambaye anatamani Kubobea katika taaluma Fulani. Hapa mtahiniwa anafanya mitihani miwili tu ya chaguo lake kutegemeana na taaluma ambayo huyo mtahiniwa anatamani kubobea.
Unaweza ukaamua kuwa mtaalam wa maswala ya Kodi, Mtaalam wa maswala ya Ukaguzi au Mtaalam wa maswala ya Utunzaji Fedha. Ni uamuzi wako sasa unachagua mitihani miwili kati ya hiyo. Mitihani hii ni Paper Based Exams, na unafanya kati ya MWEZI June na December either kwa pamoja au Mmoja moja.
CAT Qualificationsi ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 6, yaani Regulated Qualifications Framework Level 6 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 8), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Bachelor Degree. Kwa NBAA ni sawa na Foundation Stage.
KWA MAELEZO ZAIDI NAMNA YA KUISOMA NA GHARAMA ZAKE
TUWASILIANE
0713388317/0757749641
NIKO DODOMA MJINI
ACCA ina ngazi kuu mbili:
1: Foundations in Accountancy (FIA)
2: ACCA Qualifications
HAPA NITAONGELEA TU FOUNDATIONS IN ACCOUNTANCY PEKE YAKE
Foundations in Accountancy (FIA)
Ngazi hii haina vigezo vyovyote vya Elimu ili mtu aanze kusoma. Hii ni kwa ajili ya mtu ambaye hana ujuzi wowote wa uhasibu au hana Elimu yoyote rasmi, ila anataka kuwa Muhasibu.. Hivyo, hapa ni sawa na mtu anayetaka kuanza Darasa la Kwanza la Uhasibu.
Unaanza na utangulizi kabisa wa Uhasibu.. Kujiunga ni MTU yeyote Yule ili mradi tu aweza Kujua Kiingereza akaelewa maana ya maneno yalioandikwa na Kufanya baadhi ya maswali ya Hesabu.
ACCA wana Online Platform ya bure kabisa kwa mtu anayehisi Kiingereza chake na Hesabu havipandi.. Anaweza kujifunza hapo kwa bidii huku akiendelea na shule yake ya FIA.
Hii ina maana gani?
Hii ina maana kwamba hata kama mtu kaishia Darasa la saba, ila akataka kujiendeleza Kielimu katika fani ya Uhasibu, anapata mahali pa kuanzia na kuendelea mpaka kufikia PhD akiamua.
Kwa hiyo kama wewe umeishia Darasa la saba, umefeli Kidato cha pili, umefeli Kidato cha nne, umefeli Kidato cha sita, etc. usikate tamaa ukahisi ndo mwisho wa elimu yako. Bado kuna njia ya kukufanya uendelee na shule yako na hatimaye ukawa Mhasibu anayetambulika Kimataifa (Ulimwenguni Kote).
Ili Kusajiriwa na Bodi hii kwa ngazi hii ya Awali ya Uhasibu (FIA), Mtahiniwa angalau anahitajika awe na Identity Card yoyote kama vile Leseni ya Udereva, Kitambulisho cha Mpiga Kura, Kitambulisho cha Taifa, Hati/Pasipoti ya Kusafiria, n.k
Kutegemeana na elimu yako hiyo, utapata mahali sahihi pa kuanzia kusoma Kozi hizi za Kimataifa na Kupata Vyeti tofauti tofauti na katika madaraja tofauti tofauti ambavyo vitakupelekea mpaka kupata ACCA Qualifications.
Pia kuna ushirikiano ambao Bodi ya ACCA wanao na Vyuo Vikuu vya Kimataifa vyenye sifa duniani kama vile Oxford Brookes University ambao wanatoa BSc (Hons) Degree in Applied Accounting kwa wanafunzi wanaosoma ACCA waliomaliza mitihani kadhaa na kufanya Research and Analysis Project kwa muda wa miezi sita.
Pia ACCA wana ushirikiano na Chuo Kikuu maarufu Duniani cha University of London ambacho ni kati ya Vyuo 10 bora nchini Uingereza. Chuo hiki kinatoa MSc in Professional Accountancy kwa wanafunzi wanaosoma au waliomaliza mitihani ya ACCA ambapo wanatakiwa kufanya idadi kadhaa ya Mitihani na Kufanya Research Project ya Chuo hicho na Kupata Masters Degree yako kutoka Chuo hiki cha Kimataifa.
JE, MITIHANI GANI UNAFANYA YA FOUNDATIONS IN ACCOUNTANCY?
Kwanza kabisa Level hii ya Mitihani wanafanya wale walioishia Darasa la Saba, Kidato cha Pili au Cha Nne au aliyetoroka shule bila kumaliza elimu yoyote lakini anahitaji kujiendeleza kwenye Uhasibu na ana uwezo wa Kuelewa Kiingereza na Kufanya hesabu. Makundi haya yanaanzia mitihani tofauti tofauti kutegemeana na Uwezo wao wa Kitaaluma.
NGAZI ZA FOUNDATION IN ACCOUNTANCY NA MASOMO HUSIKA
- Introductory Certificate
MA1 Management Information
Certificate hii ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 2, yaani Regulated Qualifications Framework Level 2 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 5), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Technician Certificate.
- Intermediate Certificate
MA2 Managing Costs and Finance
Certificate hii ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 3, yaani Regulated Qualifications Framework Level 3 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 6), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Ordinary Diploma. Kwa NBAA ni sawa na Accounting Technician Level I (ATEC I)
- ACCA Diploma in Accounting and Business (RQF Level 4)
FMA Management Accounting
FFA Financial Accounting
Diploma hii ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 4, yaani Regulated Qualifications Framework Level 4 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 7), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Higher Diploma (Diploma ya Miaka miwili), Kwa NBAA ni sawa na Accounting Technician Level II (ATEC II)
NB: Mitihani yote ya Foundation in Accountancy (FIA) ni Computer Based Exams na inafanyika muda wowote ule unaohisi wewe uko fit kufanya mtihani. Hakuna limitation zozote. Mara tu umalizapo kufanya mtihani wako, majibu yako unapewa hapo hapo
- Certified Accounting Technician (CAT) Qualification
FTX - Foundations in Taxation
FFM - Foundations in Financial Management
FAU - Foundations in Audit
Certificate hii siyo ya Lazima. Mtahiniwa anaweza kuamua kuendelea moja kwa moja kwenye ACCA Qualifications mara tu baada ya kumaliza mitihani yake ya ACCA Diploma in Accounting and Business (RQF Level 4). Anayefanya hii mitihani ni Yule mtu ambaye anatamani Kubobea katika taaluma Fulani. Hapa mtahiniwa anafanya mitihani miwili tu ya chaguo lake kutegemeana na taaluma ambayo huyo mtahiniwa anatamani kubobea.
Unaweza ukaamua kuwa mtaalam wa maswala ya Kodi, Mtaalam wa maswala ya Ukaguzi au Mtaalam wa maswala ya Utunzaji Fedha. Ni uamuzi wako sasa unachagua mitihani miwili kati ya hiyo. Mitihani hii ni Paper Based Exams, na unafanya kati ya MWEZI June na December either kwa pamoja au Mmoja moja.
CAT Qualificationsi ina maana gani?
Hii ni Sawa na RQF Level 6, yaani Regulated Qualifications Framework Level 6 kwa Uingereza, ambapo kwa Tanzania ni sawa na National Technical Awards (NTA Level 8), kwa Lugha rahisi iliyozoeleka kitaaluma ni Bachelor Degree. Kwa NBAA ni sawa na Foundation Stage.
KWA MAELEZO ZAIDI NAMNA YA KUISOMA NA GHARAMA ZAKE
TUWASILIANE
0713388317/0757749641
NIKO DODOMA MJINI