Kwa walio olewa na kuoa tu!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Baada ya kuoa na nakuvalishwa pete ya ndoa je nikiivua hiyo pete kuna kosa??kuwa nayo nakutokuwa nayo kidoleni ina sababu??
 
Kwani pete ndio ndoa? ukipenda vaa ukipenda vuwa. Ndoa ni kati ya wawili walioowana na si pete.
 
Kuvaa pete ni muhimu maana huwa inatoa sign au status ya muhusika. Mimi na joto hili huwa inaniletea matatizo kidoleni kwahiyo siivai full time.
 
Pete ina kuonyesha status????how kwani kunamahali unatakiwa kuonyeshe status??ukiwa haujavaa kuna anayeweza kukuuliza umeoa au ujaoa?
 
Baada ya kuoa na nakuvalishwa pete ya ndoa je nikiivua hiyo pete kuna kosa??kuwa nayo nakutokuwa nayo kidoleni ina sababu??
Mimi kwa upande wangu ina sababu kubwa kulingana na kiapo nilichopewa wakati navalishwa.Nakinukuu;
"Akellei,pokea pete hii,iwe ni ishara ya upendo wangu,na uaminifu wangu kwako,kwa jina la Baba,na La Mwana na la Roho Mtakatifu,Amina"
Wakati nipokea ilikua inavalishwa kidoleni kwa hiyo kutokuivaa ni kwenda kinyume na niliyoyanukuu.
 
Hayo ni hisia ila sidhani kama ukivua nikwamba umenajisi ndoa
 
hakuna kosa kuvua kama unavua kwa mazuri ila kama ni kwa usaliti don't dare
 
Ni mambo tu ya kibinadamu, hayana umuhimu/ulazima wowote, wala hakuna sehemu yoyote kwenye Bible walipoandika waliooana wavae/lazima wavae pete.
 
Matarese umesema neno na hakuna waliposema ndoa nikuvalishana pete na lazima ulekiapo!!zamani walikuwa wanaopoa mzigo unatambaa zako hata mke wamtu ilikuwa ruksa!!maana kwenye vitabu wamesema eti fulani akamuoa mke wa batromeo akazaa naye watoto 6na ukoo wa benezet kwahiyo unaona zamani kulikuwa na umafya!
 
Matarese umesema neno na hakuna waliposema ndoa nikuvalishana pete na lazima ulekiapo!!zamani walikuwa wanaopoa mzigo unatambaa zako hata mke wamtu ilikuwa ruksa!!maana kwenye vitabu wamesema eti fulani akamuoa mke wa batromeo akazaa naye watoto 6na ukoo wa benezet kwahiyo unaona zamani kulikuwa na umafya!

avatar21652_10.gif
kumbe kweli wewe ni mwenyeji wa Papua New Guinea
 
Ni mambo tu ya kibinadamu, hayana umuhimu/ulazima wowote, wala hakuna sehemu yoyote kwenye Bible walipoandika waliooana wavae/lazima wavae pete.
kama ni kweli basi hii ndiyo itakuwa sababu yangu no 1....
 
Kipipili kwakuwa mimi nimtu ppgn kwani ni mekukwaza??kama uependa kasura kangu just pm i'll help you!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom