dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,476
Tano tenaTulio Tabora tutajua hatujui
Ee Mungu sikia kilio chetu
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Tano tenaTulio Tabora tutajua hatujui
Ee Mungu sikia kilio chetu
Baadae wanakukamata kwa kuhujumu uchumiHii imekaa poa je ukivuta ukawapa wif na majiran mfano mko kwenye nyumba moja kisha mkashea bei
Hili ndiyo suluhisho la kudumu.Solution ni kuifuta tu hii wizara na waziri wake asomewe albadri kama afande sele tuanze upya
Sasa mkuu kuongezs gharama Kwa mtumiaji ndio kuongeza makusanyo ?walevi wamepungua Sana sababu ya Bei na Sasa watumiaji wa mtandao watapungua Sana ,imekuwa kama anasa sasaHii serikali inachekesha sana, yani njia nzuri ya kujipatia kodi kirahisi ni ku invest katika mambo ambayo watu wanayapenda, mfano sigara na bia ndio huwa zinaongoza kwa kodi miaka mingi tu! Hivyo vitu viwili ni kama chanzo cha burudani na hutasikia watu wakilalamikia huko sababu kodi zake zimeekwa in a manner hazileti sintofahamu!
Wangeweza kulifanyia hili kazi wangesambaza internet kwa watu na kuwauzia kama ilivyo maji au umeme hakika wangepata hela sana ila wao wamekazana kuvuruga vifurushi kwenye mitandao, yani wangeweza ku regulate soko bila kuumiza watu hata hawa wenye mitandao wasingekuwa na nguvu kama ilivyo sasa
mkuu ile kit ya starlink ina cost bei gan kwan! na vip kuhusu anga la bongo lipo support na starlink satellites?Tujichange watu tunaoishi sehemu moja tununue starlink tuwe tunashare tu malipo ya mwezi
Sasa hiyo 2.5 au 1.5 GB inaweza kukuvusha muda gani ukiibania mkuu?2.5GB ni Tsh 10,000 hata sasa nimeshindwa kununua aisee
Natumia ya TTCL
Sijawahi kununua hii kitu naona tu kwenye menuSasa hiyo 2.5 au 1.5 GB inaweza kukuvusha muda gani ukiibania mkuu?
With all due Respect You don't know shit about Network/Internet. Next time uliza au kaakimya kwenye upande wa Internet itaendelea kuwa wired mpaka yesu atakapo rudi.Dunia inaondoka kwenye mifumo ya analog kwenda wireless! Wewe unakuja na idea ya kuunganisha miwaya kama TTCL!
Walevi wamepungua sababu hela ya kunywa tu hawana. Ukitaka kujua wanywaji wapo tangaza offer tu utawaona😁😁😁Sasa mkuu kuongezs gharama Kwa mtumiaji ndio kuongeza makusanyo ?walevi wamepungua Sana sababu ya Bei na Sasa watumiaji wa mtandao watapungua Sana ,imekuwa kama anasa sasa
vp bei zao siku hizi, upo maeneo gani, upande wa hitilafu na kuzitatua ndani ya muda vp??Nipo hapa natamba na Zuku Fiber nishasahau bei za bando, data na speed limits toka mwaka juziView attachment 1741251
Huku Buza hakuna mkonga mkuuKama upo Dar maeneo ya Kariakoo, Mjini posta, Msasani, Peninsular, Upanga, Kinondoni ya Morocco, Mikocheni, Masaki, O'bey, n.k Kuna fiber za kutosha kama zuku, Raha, Gofiber, n.k
Fibre ni internet ya waya, unavutiwa waya hadi sehemu ulipo nyumbani kwako, ni internet ya waya lakini kuna kifaa utapewa kinaitwa wireless router, hiki kifaa kitakuwezesha utumie internet kwa wifi ya simu au laptop ama vifaa vingine vyenye wifi.
Kwa mfano internet ya fibre ya zuku inapatikana kino, kariakoo, msasani, peninsular, upanga,n.k utalipia elf 70 kwa mwezi (kifurushi cha chini) au zaidi (kuna vifurushi vina speed kali sana hivi ni kama watumiaji ni wengi na vina speed kali sana) pia hapo hapo utakuwa umelipia na channel za zuku utazocheki kwa kingamuzi.
A.10 Mbps = 69,000,
B.20 Mbps = 99,000
C.40 Mbps = 129,000
D.100 Mbps = 249,000.
Tukumbuke Mbps (Megabits per second) sio na zile megabytes ambazo huwa tunadownload, zile huwa na herufi kubwa ya "MB", ukitaka kujua unaweza kudownload MB ngapi kwa sekunde, hapa kilinganishi ni kwamba 1 Mbps ni sawa na MB 0.125 kwa hio mfano kifurushi A cha 10 Mbps ukifanya hesabu unapata uwezo wa kudownliad MB 1.25 kwa sekunde moja, ukija kifurushi B ni MB 2.5 kwa sekunde, n.k japo speed hushuka pale mnapokuwa watumiaji wengi mnaanza kugawana speed.
Utaweza kutumia internet bila kikomo, speed ni nzuri hata kwa kifurushi cha chini cha elf 70 ambacho unaweza kudownload mb 1 (nasikia sikuhizi ni 2) kwa sekunde, ni speed nzuri hata videos utaangalia bila kukwama na hata kwenye kudownliad utaweza kudownload muvi hata ya GB 1 kwa takribani dakika 18 tu, kitu kizuri zaidi ni hakuna kikomo, hakuna mambo ya ukifikisha gb kadhaa speed inashuka. Makampuni mengi gharama za vifaa na kuletewa waya wa internet hadi kwako ni bure ikiwa utalipia bando la mwezi au miezi kadhaa.
Changamoto ni kwamba haipo kila sehemu Dar na pia inabidi uwe mazingira ya nyumbani au ofisini ili kutumia wifi ya kifaa chao.
Kwa waliopo nje ya maeneo hayo au mikoani TTCL nao wana fibre sema nasikia ni gharama.
Amekufa Vifurushi vimepanda beiSijawahi kufurahia kifo ila kuanzia leo nimeamini Magufuli alichelewa kufa.
Alichukia uhuru wa habari mpaka akaanzisha Wizara ya kunyonga uhuru wa maoni. Mungu muweke alipopastahili.
Hili swala lilikuwa linafanyiwa mchakato kabla hajafa na huyo waziri mjinga akasema hadi kufika April watakuwa wameboresha vifurushi kuwa vya gharama nafuu.. ishu ambayo watu walikuwa wakiilalamikia ni kuexpire kwa vifurshi.Amekufa Vifurushi vimepanda bei
Sijawahi kufurahia kifo ila kuanzia leo nimeamini Magufuli alichelewa kufa.
Alichukia uhuru wa habari mpaka akaanzisha Wizara ya kunyonga uhuru wa maoni. Mungu muweke alipopastahili.
Na kuna ile kama sukari imepsnda nunua asaliUmesema elfu70?!! Umenikumbusha kuna watu walikuwa wanaandamana bei ya mkate kupanda. Mwanamfalme kusikia hivyo akasema kama mkate umepanda si wale keki!
Ati?
unaongea kuhusu 70000????? Si afadhali nitupe simu
ef20 ikizidi sana 30 na siitoi kwa pamoja hio.hivi ushawai fanya research kwa mwezi unatumia kiasi gani kujiunga vifurushi vya data
kuna watu wana updated list ya sehemu zenye promotion za biaWalevi wamepungua sababu hela ya kunywa tu hawana. Ukitaka kujua wanywaji wapo tangaza offer tu utawaona😁😁😁
Ukitoka nyumbani ndiyo basi tena si ndiyo?1.Kama una familia kitasaidia kuoungiza gharama za kila mtu kujinunulia data
2.unapata channels za kingamuzi cha zuku
3.utatumia bila kikomo, hata ukitumia gb 20 kwa siku ni wewe tu, nenda hata halotel uulizie hio gb 20 kwa siku sh ngap .