Shafii chochoro
Member
- Oct 21, 2020
- 19
- 4
Msaada jaman
Wenye ujuzi watakuja wakueleweshe mimi nilikuwa nakuelewesha maana ya alumnus/alumni/alumnae.Sijajiunga wamenitumia wenyewe nilivo apply
Umejiunga bhana mm mbona nimechaguliwa hapo Ila sijatumiwa hiyoSijajiunga wamenitumia wenyewe nilivo apply
Umejiunga bhana mm mbona nimechaguliwa hapo Ila sijatumiwa hiyo
cioo mbya japoo umeruka stage....endelea tyuu tutaona mwisho wakoo
Hata chuoni hajafika tayari umeshajiunga na alumni society?
View attachment 1610922