Unaweza uishie kuvaa chu**pi ya partner wako!Hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, BF au GF hali inakuaje hapo? uasilia wa tukio la fumanizi
hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, bf au gf hali inakuaje hapo? Uasilia wa tukio la fumanizi
Bora hiyo...kama ni mvaaji wa kofia unaweza kuivaa hiyo chupi kichwani ukidhani ni kofia! Usiombe hiyo kitu ikutokee.Unaweza uishie kuvaa chu**pi ya partner wako!
we waonaje sweetie?Kwanza pole kwa yaliyokupata
Hivi kwenye ile topic ya lile jina kuna ukweli kumbe
we kimbweka mi nikifumania nakufumua marinda tu cna jingine
Ulishafumania afu wewe ulofumania ndo wachezea kichapo?..akilio zinapaa kwa dakika kadhaa
..ata km baunsa unalegea to the extent mtoto wa std 2 anaweza akakuchapa
Bora hiyo...kama ni mvaaji wa kofia unaweza kuivaa hiyo chupi kichwani ukidhani ni kofia! Usiombe hiyo kitu ikutokee.