Kwa wale wliowahi

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,598
1,678
Hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, BF au GF hali inakuaje hapo? uasilia wa tukio la fumanizi
 

Rose1980

JF-Expert Member
May 10, 2010
5,685
1,284
..akilio zinapaa kwa dakika kadhaa
..ata km baunsa unalegea to the extent mtoto wa std 2 anaweza akakuchapa
 

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,609
1,737
kwani wataka kuchitt wewe?jaribu uone hali itakuaje...apa hujibiwi ukweli ng'ooo...we jalibu kaka jalibu tuu... wala uchiogope mwyaaa eee...:smile-big:
 

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,598
1,678
..akilio zinapaa kwa dakika kadhaa
..ata km baunsa unalegea to the extent mtoto wa std 2 anaweza akakuchapa

Kwanza pole kwa yaliyokupata
Hivi kwenye ile topic ya lile jina kuna ukweli kumbe
 

Ferds

JF-Expert Member
Oct 27, 2010
1,264
191
quote_icon.png
Originally Posted by kimbweka
hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, bf au gf hali inakuaje hapo? Uasilia wa tukio la fumanizi

Hebu jaribu kufumaniwa halafu uone inakuwaje
 

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,609
1,737
:pound::pound::pound::pound:bwahahaha.,,kwiiitkwitikwiti... si nimemwambia huyu mshkaji ajifanya hajui kusoma thread yangu muache adanganywe.
quote_icon.png
Originally Posted by kimbweka
hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, bf au gf hali inakuaje hapo? Uasilia wa tukio la fumanizi

Hebu jaribu kufumaniwa halafu uone inakuwaje
 

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,598
1,678
quote_icon.png
Originally Posted by kimbweka
hivi ukifumaniwa na mmeo au mkeo, bf au gf hali inakuaje hapo? Uasilia wa tukio la fumanizi

Hebu jaribu kufumaniwa halafu uone inakuwaje

Basi naomba unifumanie wewe
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom