Hahahaaaaa they say "Karma is a witch bitch"Mbona kama ni birthday tea...kuna mzee anatimiza miaka 80...🤫
Ushuani hawajui kupika haswa mabinti ni hovyo katika mapishi na migegedo, na hivyo vitafunwa wamenunua uswahilini
hiyo iliyopo kwenye bakuli huwa naiita tule tufe.Wale wa ushuani hivi ndivyo wa kwa Mtogole na Buza tunapata chai yetu ya asubuhi.View attachment 1354631
Kumbe wewe sio wa kishua?Wale wa ushuani hivi ndivyo wa kwa Mtogole na Buza tunapata chai yetu ya asubuhi.View attachment 1354631
Inategemea wanapika nini...Ushuani hawajui kupika haswa mabinti ni hovyo katika mapishi na migegedo, na hivyo vitafunwa wamenunua uswahilini
Mzee baba sikuhiz utandawazi. Utakuta yale makabila yanayojulikan kwa ufundi hakuna kitu, harafu yale yanajulikana ni wazembe utakuta binti anapiga mzigo vibaya mno. Watu wanajifunza mitandaon, makazini kwa wenzao wajuao vitu, kwa parsonal trainer nkUshuani hawajui kupika haswa mabinti ni hovyo katika mapishi na migegedo, na hivyo vitafunwa wamenunua uswahilini
Labda kuchemsha mayaiInategemea wanapika nini...
Me wa BuzaKumbe wewe sio wa kishua?
Dahhiyo iliyopo kwenye bakuli huwa naiita tule tufe.
Nilizipiga sana pale mabibo, boom likikata hiyo kitu ilikuwa breakfast, lunch, dinner, supper na kila kitu kwenye maisha.
Ukute hiyo mihogo ni ile yenye maji haaivi, utazukumbuka slice plane za mkate na hiyo chai ya rangi.Wale wa ushuani hivi ndivyo wa kwa Mtogole na Buza tunapata chai yetu ya asubuhi.View attachment 1354631
Wale wa ushuani hivi ndivyo wa kwa Mtogole na Buza tunapata chai yetu ya asubuhi.View attachment 1354631